Nauza gari Range Rover Sport

Nauza gari Range Rover Sport

Naomba mnitoe ushamba.. jamaa anasema gari imetumika bongo kwa miezi kumi na moja tuu, lakolini magari yenye namba zinazoanza na DC.. yapo bongo toka 2014.. inakuaje gari ya juzi miezi kumi na moja iliopita ina namba ya namna hio?
 
Naomba mnitoe ushamba.. jamaa anasema gari imetumika bongo kwa miezi kumi na moja tuu, lakolini magari yenye namba zinazoanza na DC.. yapo bongo toka 2014.. inakuaje gari ya juzi miezi kumi na moja iliopita ina namba ya namna hio?
Hii gari Tokea imekua Imported 2015 july

Imekua haitumiki Mara kwa Mara zaid ya Wikend moja moja tu kwa ajili kutoka na family

Pia haijawahi kupiga safar yoyote ndefu, iwe ndani ya DSM au mkoani.

Body take haijawahi kurudiwa wala kuchubuka Rangi hata kidg sehemu yoyote ile.

Kama Una wasiwasi,
Njoo upanga uikague gari na Uje na fundi wako Unaemuamini.

Kama wee mwnyw ni fundi, Basi itakua bora zaidi.

Gari imekamilika kila idara,
Iko na vibali vyote halali vinavyokubalika kisheria.
 
Hii gari Tokea imekua Imported 2015 july

Imekua haitumiki Mara kwa Mara zaid ya Wikend moja moja tu kwa ajili kutoka na family

Pia haijawahi kupiga safar yoyote ndefu, iwe ndani ya DSM au mkoani.

Body take haijawahi kurudiwa wala kuchubuka Rangi hata kidg sehemu yoyote ile.

Kama Una wasiwasi,
Njoo upanga uikague gari na Uje na fundi wako Unaemuamini.

Kama wee mwnyw ni fundi, Basi itakua bora zaidi.

Gari imekamilika kila idara,
Iko na vibali vyote halali vinavyokubalika kisheria.
So mkuu kwa muktadha huu hiyo miezi 11 ume calculate vip?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom