jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
Habari,
Nauza diplayed fridge la ice cream
Limetumika ndani ya miezi 4 tu. Linafaa kwa kuuzia ice cream, nyama nk.
Unaweza kulitumia supermarket au hata duka la kawaida.
Halina tatizo lolote lile. Naliuza kwa bei ya laki 9 (900,000)
Linapatikana Bunju B Dar es Salaam
Mawasiliano 0623953036
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza diplayed fridge la ice cream
Limetumika ndani ya miezi 4 tu. Linafaa kwa kuuzia ice cream, nyama nk.
Unaweza kulitumia supermarket au hata duka la kawaida.
Halina tatizo lolote lile. Naliuza kwa bei ya laki 9 (900,000)
Linapatikana Bunju B Dar es Salaam
Mawasiliano 0623953036
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app