Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

ThaGreatman

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2018
Posts
708
Reaction score
1,466
Hello wandugu,baada ya kumalizana na shule (UDSM) narejea mkoani kikazi, hii itawafaa wanafunzi zaidi...

Chumba kipo Mwenge Mpakani, (karibu na Jeshini) kina kitanda na godoro lake (5×6), meza ya kusomea, jiko dogo la gesi na vyombo vya ndani!

Chumba kina choo chake, (choo kipo ndani), kodi yake ni 70,000/= kwa mwezi, unalipa kuanzia.

Mpaka sasa kimelipiwa Kodi mpaka mwishoni mwa mwezi April...inafaa zaidi kwa wanafunzi wa UDSM,ARDHI, CHUO CHA KODI, USTAWI WA JAMII, UDSM-KIJITONYAMA, n.k.

Kwa mhitaji njoo pm tuyapange, mnaweza kushea wawili au mmoja ukitaka!

JPEG_20210101_130600_6003998408812568504.jpg
JPEG_20210101_130732_6961179497648408362.jpg
JPEG_20210101_130827_7409182371893900916.jpg
JPEG_20210101_130926_7408113706704351683.jpg


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
kinalipwa kwa miezi mingapi na ni miezi mingapi umebakiza wewe
 
Kama kuna mtoto mzuri anayesoma hayo maeneo, nione tafadhali nikulipie hiyo room lakini uwe at least 21!!
 
Umemaliza chuo lakini kitanda na godoro vimetumika MIEZI SITA tu, interesting uh!!
Mkuu uliza kwanza uelekezwe, usikariri!
Nimeanza Masters mwaka 2018,nimeishi Hostel 2018/19 na 2019/20 nilitarajia kumaliza chuo,(May 2020),sikumaliza (mambo ya covid)
Nikalazimika kupanga Chumba mwezi wa saba, na kununua hivyo vitu, sasa kinachofanya ushangae ni nini?

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom