Nauza Ariston water heater ya bafuni (15lt)

Nauza Ariston water heater ya bafuni (15lt)

Kaplizer

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
726
Reaction score
596
Nauza water heater brand ya Ariston ni kubwa na imara.
Hii ilifingwa bafuni lkn sijawahi tumia kwa kutofikiwa na huduma ya maji ya dawasco nimeona niitoe niuze.
Lete OFA Yako nikusikilize..
Location: Dar popote unafikiwa
📞 0792503090
 

Attachments

  • IMG-20250617-WA0000.jpg
    IMG-20250617-WA0000.jpg
    46.6 KB · Views: 21
  • IMG-20250617-WA0001.jpg
    IMG-20250617-WA0001.jpg
    46.2 KB · Views: 24
Bila ya kusahau ufundi bure kwa mteja..
 
Nauza water heater brand ya Ariston ni kubwa na imara.
Hii ilifingwa bafuni lkn sijawahi tumia kwa kutofikiwa na huduma ya maji ya dawasco nimeona niitoe niuze.
Lete OFA Yako nikusikilize..
Location: Dar popote unafikiwa
📞 0792503090
Mbona picha za mang'amung'amu, weka picha kamili. Je, ni ya papokwapapo(instant heater).
 
Ushakaa mbweni au kigamboni au any coastal beach plot?
Nimeishi Kigamboni nikiwa nasoma MNMA.

Usually eneo lililo karibu na bahari baridi hua nje ila siyo ndani ya nyumba.
 
Back
Top Bottom