Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,217
"Taifa linahitaji vijana majasiri na wabishi wa nguvu ya hoja, sio mazuzu wa ndio mzee"Huyo Zitto ni mbishi mbishi sana!
By Julius Nyerere (1922-1999).
"Taifa linahitaji vijana majasiri na wabishi wa nguvu ya hoja, sio mazuzu wa ndio mzee"Huyo Zitto ni mbishi mbishi sana!
AhahahaaaaMnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Na ndio maana hatutakaa tuendelee,an increase ya 2%unaona kama 80% vile wakati hujapiga mahesabu ya other percentages ambazo wazungu wanabaki nazo,then unategemea rasilimali za madini zitunyanyue kiuchumi?Mayala njaa yako sasa imeshahamia kichwani rasmi.Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Hotel yake inaitwaje?Ye aliwekwa kwenye tume ya madini na jk atuambie alifanya nini zaidi ya kununua hammer na kujenga hotel na kununua plots.
Moja shika sii kumi nenda rudi.
Wew mzee acha unafiki unajifanya hujui maana ya MAPINDUZI?Kutoka 4 to 6 ni mapinduz usukumani eeeh?Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Huyo Zitto ni mbishi mbishi sana!
Najua hilo ila katika hii habari kwa hakika wanapotosha sana kwa kuweka heading ya namna hiyo.
Kwahiyo kwako kununua Hammer ni dhambi?Ye aliwekwa kwenye tume ya madini na jk atuambie alifanya nini zaidi ya kununua hammer na kujenga hotel na kununua plots.
Mtanzania ni gazeti la kikuda na kizushi, usishangazwe na chochote kwenye gazeti hilo
Kwani ubishi ni dhambi?!Tatizo lako ndugu yetu kamwe hutaki kuheshimu mawazo ya mwenzako hata kama mnatofautiana kiitikadi.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Mkurugenzi Mtendaji wa Habari Coperation ambae ndio wenye Mtanzania ni Naibu Waziri wa Kilimo Ndugu Hussein Bashe
Na Mmiliki wa Gazeti hilo ni Ndugu Rostam Aziz
Bashe baada ya ulaji ameamua kulighoshi gazeti hili! stupidGazeti la mtanzania si linamilikiwa na chama cha mapinduzi (CCM)?
Sishangai...
Kama taifa sio siri...tunaelekea kubaya
Na nyinyi wananchi mmekubali kupelekwa kubaya ?Gazeti la mtanzania si linamilikiwa na chama cha mapinduzi (CCM)?
Sishangai...
Kama taifa sio siri...tunaelekea kubaya
Mtu ukiwa mkweli wa type yangu humu jf ni shida!. We were getting nothing, now we are getting something, no matter how little it is, something is always better than nothing na haya ni mapinduzi makubwa.Pascally Pascally Pascally Pascally
Ebu punguza angalau
Na nyinyi wananchi mmekubali kupelekwa kubaya ?
Uhuru wa habari uheshimiwe tafadhali, ulitaka waandike unachotaka wewe!