Naungana na Zitto, gazeti la Mtanzania huu kweli si uandishi na kwa hakika inakera

Naungana na Zitto, gazeti la Mtanzania huu kweli si uandishi na kwa hakika inakera

Mtu ukiwa mkweli wa type yangu humu jf ni shida!. We were getting nothing, now we are getting something, no matter how little it is, something is always better than nothing na haya ni mapinduzi makubwa.
Kubalini, kataeni, nitaendelea kuusema ukweli no matter what!.
P
Unajidanganya kudhani unajua kuliko wengine
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Hopeless journalist, hivi unajua mchakato wa kulipa 6% loyalty ukoje? Tueleze mchakato wa dividend ya 16% shares,

Hizo ndo issue za kujadili ili tujue tunanufaika au tunadanganywa na figure,
 
Unajidanganya kudhani unajua kuliko wengine
Sijawahi kusema humu kuwa ninajua kuliko wengine, siku zote huwa ninakisema kile ninachokijua, na wanaojua zaidi nao wanasema wanachojua, na msio jua mnapaswa ama kuuliza msichojua au kunyamaza na kufyonza mnachopewa.
P
 
Hopeless journalist, hivi unajua mchakato wa kulipa 6% loyalty ukoje? Tueleze mchakato wa dividend ya 16% shares,
If not mad, then you must be nut!. Mtu umenuita hopeless journalist, halafu unamuuliza swali akueleze mchakato wa 16% dividend!. This is madness!.
P
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P

Indicators za neno mapinduzi makubwa ni zipi?
Kama hizo statistics ulizo toa ni mapinduz makubwa basi tupo vizur
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Habari Coperation ambae ndio wenye Mtanzania ni Naibu Waziri wa Kilimo Ndugu Hussein Bashe

Na Mmiliki wa Gazeti hilo ni Ndugu Rostam Aziz
Sasa ningetamani mtu/mwanasiasa toka CHADEMA au ACT-Wazalendo (Zitto anafanya kazi kubwa sana, anastahili msaada); aandike makala nzito kueleza yaliyo kinyume na hayo yaliyoandikwa kwenye gazeti hilo, na kuipeleka ichapishwe huko huko.
Wakikataa, yapo magazeti mengi.

Kuna wabunge wengi wasomi, hasa CHADEMA, mbona hata uandishi wa makala tu unakuwa mgumu sana toka kwao?
Mikutano hakuna, hata kuwasilisha mawazo watu wasome inakuwa shida? Huu ni udhaifu wa pekee sana, sio kwa wanasiasa tu, bali hata wasomi wengine. Imekuwa jambo la nadra sana kusoma makala nzito toka kwa wasomi wetu katika magazeti yetu.
 
Zitto saa zingine huwa anaandika kisiasa kuliko uhalisia wa kibiashara.

Duniani kote linapokuja swala la sheria mpya haswa za umiliki wa asset na shares hakuna kampuni ya kimataifa inayowekeza kwenye nchi ambazo classified ni unpredictable kwenye sera za uchumi ambayo itakuwa aja-jikinga na stabilisation clause kwenye contract, vunja hayo makubaliano utashitakiwa utake usitake.

Pili ukipitia statement of financial position wameweka wazi share za serikari ni special, na wengine zinaweza kuwa diluted. Kuwataka ACCACIA kutoa shares zingine kinguvu ni kulazimisha hiyo dilution na inaweza kuwa na madhara kwenye thamani zake na shirika pia katika kipindi bado wapo kwenye mgogoro.

Tatu purchase ya ACCACIA imetokana na msukumo wa serikari in the first kutotaka kufanya biashara nao na aikuwa kazi rahisi kwa Barrick, yeye hapo hapo anataka kutia chumvi kwenye kidonda; inaonesha ni mtu ambae hayupo tayari kuona mgogoro unaisha.

Ni hivi Zitto inabidi ajiongeze kwenye maswala ya business law kwanini watu wanaweka vipengele fulani ndani ya mikataba na pili ajiongeze kwenye maswala ya finance uelewa wake inaonekana bado unahitaji nyongeza ni kama anajiropokea tu many times without considering implications za hoja zake kwenye kampuni husika.
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Moja shika sii kumi nenda rudi.
Kama zamani tulikuwa tunapa royalty ya just 4%. Sasa royalty ni 6% na tuna 16% ya free carried shares. Haya ni mapinduzi makubwa mkubali mkatae.
P
Katika watu watupu kichwani wewe ni 1 wapo aisee
 
Katika watu watupu kichwani wewe ni 1 wapo aisee
Mkuu Yomboo, kwanza asante, mimi huwa naheshimu mawazo ya kila mtu, hivyo niliisha kugongea like.

Utupu wa kichwani nao ni relative kama lilivyo ganda la mua la jana, kwa mmoja ni uchafu wa kutupa chini, kwa mwingine ni kivuno cha mwezi mzima.
P
 
Mapema asubuhi ya leo,niliweka bandikio hapa JF sambamba na ukurasa wa mbele wa gazeti la Mtanzania nikionyesha kushwangazwa na habari ilioko katika ukurasa wa mbele wa gazeti hilo la siku ya leo kuhusu habari ya kudai eti Magufuli amefanya mapinduzi katika sekta ya madini huku mhariri akitumia makubaliano kati ya serikali na kampuni ya Barrick kuwa ndio kama msingi wa habari yake hiyo.

Binafsi nilipoona hiyo heading tu(sijasoma ndani) na kurudi nyuma kutafakari kilichokubaliwa kati ya serikali na hiyo kampuni, kwa hakika nilichukizwa sana na pia nilikerwa na maoni ya Prof.Ngowi juu ya habari hii na nilikwenda mbali na kusema sitashangaa kusikia na yeye kalamba uteuzi siku zijazo.

Nashukuru kuona pia Zitto nae ameonyeshwa kukerwa na hii habari na amewaponda Mtanzania kupitia mtandao wa twitter.

Zitto umefanya la maana sana na inapaswa ulichokifanya kifanywe pia na wanasiasa wengine na wadau wengine wakiwemo hata waandishi wa habari kwani hii habari kwangu mimi naiona ni exaggeration tupu tena kwa malengo ya kisiaa.

Wahariri na waandishi kwa ujumla saidieni watanzania kujua pande zote za shilingi na muwaache wenyewe waamue na sio kuchukua upande kama inavyojionyesha katika hii habari.

Tweet ya Zito ni hii hapa chini:


Zitto alikua anamlipa kabendera amtukane Rais,Zitto anawalipa Mwananchi waandike serikali vibaya,leo eti amechukizwa na gazeti la Mtanzania!!
 
Mkuu Yomboo, kwanza asante, mimi huwa naheshimu mawazo ya kila mtu, hivyo niliisha kugongea like.

Utupu wa kichwani nao ni relative kama lilivyo ganda la mua la jana, kwa mmoja ni uchafu wa kutupa chini, kwa mwingine ni kivuno cha mwezi mzima.
P
Genius!
 
Tunajua unachokitafuta kupitia JF, ila siku ukifanikiwa,usisahau kumshukuru Melo japo kwa maneno tu maana hii forum yake ndio inakufanya uonekane machoni pa bwana yule.
Wewe mtoto mdogo humjui Pascal ,kaanza kujulikana wewe hujazaliwa na hahitaji teuzi kwa sababu lifestyle aliojichagulia
Hawa waandishi wako wote unaowajua ni juniors kwa Pasco,msichukulie watu poa bila ya tafiti
Halafu nyie watoto mkipewa ukweli mchungu,mnadai mtu anajipendekeza,kama hampendi taarifa hasi fungueni forums zenu za kibavicha watupu
 
Back
Top Bottom