Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,085
- 16,063
Sisemi kama ndugu au kabila hawadisapoint, pana tena sanaa.
Ila amini nakwambia, mtu kama sio ndugu yako au kabila lako au rafiki yako. Kwenye biashara hizi, makampuni binafsi ni ngumu sana kukufkiria mara mbili.
Ni rahisi sanaa kwa mtu ambaye ni ndugu yako. Kabila moja au dini moja kuku consider angalau takuibia sawa ila hatokufanya mbaya kama mtu baki kabisa.
Kwenye hizi biashara/kampuni binafsi changamoto kubwa ni wiz na ku-deliver.
Amini nakwambia, ni rahis snaa kwa mtu bak kutokukujali.
Pia nasemaje, Watanzania tuna tatzo kitu kama sio chako mtu hawez jitoa hata sku1. Yeye anachoangalia ni jinsi gani atabuni mazingira ya kukupiga, au labda nina roho nzuri sanaa hawa wafanyakazi wangu wana take advantage.
Nina plan ya kuweka ndugu zangu tupu kwenye miradi yangu na manager m1 ambaye atakua mwiba kwao.
Sasa nmeamin ya waswahili hawawapendi Wahind na Wahind hawatak ujinga na Waswahili. Sitolaumu tenaaaa
Uzi tayari
Ila amini nakwambia, mtu kama sio ndugu yako au kabila lako au rafiki yako. Kwenye biashara hizi, makampuni binafsi ni ngumu sana kukufkiria mara mbili.
Ni rahisi sanaa kwa mtu ambaye ni ndugu yako. Kabila moja au dini moja kuku consider angalau takuibia sawa ila hatokufanya mbaya kama mtu baki kabisa.
Kwenye hizi biashara/kampuni binafsi changamoto kubwa ni wiz na ku-deliver.
Amini nakwambia, ni rahis snaa kwa mtu bak kutokukujali.
Pia nasemaje, Watanzania tuna tatzo kitu kama sio chako mtu hawez jitoa hata sku1. Yeye anachoangalia ni jinsi gani atabuni mazingira ya kukupiga, au labda nina roho nzuri sanaa hawa wafanyakazi wangu wana take advantage.
Nina plan ya kuweka ndugu zangu tupu kwenye miradi yangu na manager m1 ambaye atakua mwiba kwao.
Sasa nmeamin ya waswahili hawawapendi Wahind na Wahind hawatak ujinga na Waswahili. Sitolaumu tenaaaa
Uzi tayari