Naumizwa na mapenzi

Naumizwa na mapenzi

Mpende akupendae asokupenda achana nae......siumizwi na mtu asojua thamani ya penzi langu
 
Dahh..... Kama nakuona kabisa....
hqdefault.jpg
 
una umri gani??Maana isije ukawa upo under 20 ndiyo tuanze kubishana hapa


hahahahahha nacheka km mazuri! mie najua anaeumizwa ni yule anaeachwa akiwa bado anampenda mhusika sasa kuna vichwa vingine hatujawah achwa tunaacha! sasa hao utawaweka km wamewah umizwa na mapenzi! mie choz la kwanza nililia nilipoingia kwemye ndoa mkuu!(sitarajii tena kulia)nyuma sikumbuki kuwah kulia kisa men aic! SIJUI LAKINI LABDA NILIWAH LIA!(kisa nimeumizwa)
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa

bila kuumia huwezi kukomaa,huwezi kuwa mtu mzima.endelea kuvumilia
 
hahahahahha nacheka km mazuri! mie najua anaeumizwa ni yule anaeachwa akiwa bado anampenda mhusika sasa kuna vichwa vingine hatujawah achwa tunaacha! sasa hao utawaweka km wamewah umizwa na mapenzi! mie choz la kwanza nililia nilipoingia kwemye ndoa mkuu!(sitarajii tena kulia)nyuma sikumbuki kuwah kulia kisa men aic! SIJUI LAKINI LABDA NILIWAH LIA!(kisa nimeumizwa)
Humu mitandaoni kupitia fake ID unaweza kusema lolote lakini nafsi inakusuta kwa,kujinasibu usitendwe wewe ni nani labda???Kipi cha tofauti unacho??Vitu vingine sio vya kuviongea
 
Pole sana, kwa aliyepitia hayo anajua maumivu yake, kwa asiyepitia ataona ni mzaha. Binafsi yamenikuta hayo sasa ni mwaka mmoja umepita maumivu ya mwanzo sio kama sasa hivi ingawa nikmwona bado moyo unaripuka. Jiepushe kuanzisha mahusiano mapya kipindi hiki, usipende kuangalia picha zake wala kuwasiliana naye itakutonesha kidonda, jichanganye na marafiki fanya mazoezi ya kukuchosha
 
SHIDA UNAPOTAMANIWA WE UNAPENDA!
sasa utapenda wangapi!?
RUKSA KUTAMANAI HATA MIA!
ILI HATA MKIFIKIA HUKU HULOOSE KITU!


SASA KILA MTU UNAMPENDA TU!
WATAKUUMIZA MPK SIKU UTAKAPOJIFUNZA KUWATAMANI,KUWAONJA NA KUWACHOKA!
 
Very true nilimpenda sana cause the guy ana sifa 3 kuu
1)brain imetulia
2)very romantic
3)very handsome
Ila kikubwa zaidi brain yake ana shule na kitaa
SABABU ZAKO ZA KUPENDA MWANAUME ZA KITOTO SANA!
well pengine mimi ndo NIMEZEEKA!
 
Huyo ulimkataa huko primary,baada ya mihangaiko mlipokutana alikujaribu nawe ukaingia kingi kumbe mwenzio anakukomoa.
Kumbuka barua aliyokuandikia primary ulipomkataa iliyosema "Utanikumbuka".
Kata kona haraka usiendelee kuumia,
 
Nitajijuaje kama kuna tatizo angesema then ningejirekebisha
SIKILIZA!
huna sababu ya kujibadilisha kwa ajili ya unworthy person!
YOU ARE WAT YOU ARE!
ANAYEKUPENDA ATAKUPENDA ULIVYO NA TABIA ZAKO NA MAJAALIWA YAKO!
short of tht UTAJIREKEBISHA MARA NGAPI?
HATA MWANAUME ATAKAYEKUOA ATAKUOA UKIWA NA MAPUNGFU NA KILA SIKU ATAKAYOISHI NA WEWE ATAGUNDUA FLAWS ZAKO!
utajiedit mara ngapi?
ALIPITA TU HUYO ,KUBALI MSAHAU ANGALIA MAISHA KATIKA UPANDE MWINGINE!
 
Lala matanga siku tatu ukimaliza anua matanga.utamsahau haraka sana halafu itakuja zamu yake kusaga meno.
 
Huumizw na mapenz mkuu bali watu.. Love is the only thing that doesn't hurt...
 
Back
Top Bottom