Naumizwa na mapenzi

Naumizwa na mapenzi

Ukimpenda mtu usimuonyeshee kama hivyo kajua unampenda anakufanyia vituko Muombe Mungu tu atakusahaulisha usilie sana haujazaliwa naye huyo kuna maisha bada ya mapenzi acha mengine yaendelee mamy
 
pambana na hali yako
huyo tayari ana fanya utaratibu wa kukuacha na wewe jiongeze, tafuta namna ya kumsahau, punguza kumtafuta, fanya mpango uondoe mawasiliano naye, fanya ishu nyingine ziku kip busy pia uwe open kukutana na watu wengine na tumia muda mwingina marafiki zako.
utajikuta hadi siku anakuja kukwambia rasmi muachanae una muaga fresh tu na unaendelea na life.
Msikilize Iceman we mdada
 
"...mwanaume ni mwindaji na fahari ya mwindaji ni kubadili mawindo na kitoweo...."

African; The Land of Warriors
 
pole kwa kuumizwa na mapenzi ushauri wa bure tu tafuta kitu cha kufanya ambacho kitakuweka bz kingine penda kujichanganya na watu usipende kujifungia fungia peke yako na kulia lia ila maamuzi unayo ww kumpotezea au kuendelea naye huku ukiwa unaumia na mapenzi
 
Duuh,,,,,,pole hiyo hatua kila mtu lazima apitie mimi naumia sana kwa ajili huyu mrembo Me too
 
Very true nilimpenda sana cause the guy ana sifa 3 kuu
1)brain imetulia
2)very romantic
3)very handsome
Ila kikubwa zaidi brain yake ana shule na kitaa


kwa maneno haya tu nahis wewe bado mdogo sana! achana nae jali yako fanya kazi kwa bidii mbn wanaume weng sana bidada?yaan unalia kwa sababu ya kiboyfriend?/hapana kwakweli! km kuna qaya aliwah kukufanyia liweke akilin mwako hilo itakupa wepesi kumsahau! tafutaza mabaya aliyokufanyia huna hata mwezi utamsahau! epuka lkbs kulia kwasababu ya boifrnd!
 
Mapenzi ya kuanzana utotoni sio mapenzi, bali ilikuwa utoto. Mwenzio katika ukubwa ndio kajua kupenda na kuwa wewe sio chaguo bali ilikuwa utoto. Tulia kwa muda utapata na wewe utagundua kuwa mapenzi ya kitoto hayakuwa mapenzi.
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
Usiwaze sana ukipata mda wa kupumzika wa pumzka na ukipata mda wa kufanya kazi Fanya kazi
Kuumizwa ktk Mapenzi ni moja wa sifa ya kuwa ktk mahusiano na ni ukubwa pia
 
Back
Top Bottom