binti madam
Member
- Jul 1, 2017
- 32
- 10
- Thread starter
- #41
Naelewa kila kitu ila maumivu ndio yananisumbua pia yanachukua muda muda mrefuMbona unajipa stress kwa mtu ambaye hata hakujali na kikubwa zaid anakuonyesha
Naelewa kila kitu ila maumivu ndio yananisumbua pia yanachukua muda muda mrefuMbona unajipa stress kwa mtu ambaye hata hakujali na kikubwa zaid anakuonyesha
fanya hayoThanks for good advice
Uwiiiiiiii please don't do that i beg ohoohalaf na wewe itabid nikufungulie uzi wewe
Msikilize Iceman we mdadapambana na hali yako
huyo tayari ana fanya utaratibu wa kukuacha na wewe jiongeze, tafuta namna ya kumsahau, punguza kumtafuta, fanya mpango uondoe mawasiliano naye, fanya ishu nyingine ziku kip busy pia uwe open kukutana na watu wengine na tumia muda mwingina marafiki zako.
utajikuta hadi siku anakuja kukwambia rasmi muachanae una muaga fresh tu na unaendelea na life.
Ndio hapo jamaanMbona unajipa stress kwa mtu ambaye hata hakujali na kikubwa zaid anakuonyesha
teh tehUwiiiiiiii please don't do that i beg ohoo
safi sasa kamshauri aje PM aniskilizeMsikilize Iceman we mdada
Very true nilimpenda sana cause the guy ana sifa 3 kuu
1)brain imetulia
2)very romantic
3)very handsome
Ila kikubwa zaidi brain yake ana shule na kitaa
"...mwanaume ni mwindaji na fahari ya mwindaji ni kubadili mawindo na kitoweo...."
African; The Land of Warriors
Usiwaze sana ukipata mda wa kupumzika wa pumzka na ukipata mda wa kufanya kazi Fanya kaziWanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla
Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu
Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale
Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa