juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,483
Tunaweza Kumfungulia Kesi Ya Tort Of Nervous Shock Kama Unataka.
Hahahahaha Just Joking. Pole Sanaaaa!!
Hahahahaha Just Joking. Pole Sanaaaa!!
anhaa vuta subira utapata mwingineVery true nilimpenda sana cause the guy ana sifa 3 kuu
1)brain imetulia
2)very romantic
3)very handsome
Ila kikubwa zaidi brain yake ana shule na kitaa
Una maanishaje?Hatujaona bado
tumia dawa3 inatuliza maumivu na yakizd fata ushaur wa daktarWanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla
Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu
Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale
Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa

Wote tuko mbali so ni simu tu ila tulikuwa tumeshapanga lini tuonaneUna maanishaje?
Kabla hujakutana nae ulikua singo?Wote tuko mbali so ni simu tu ila tulikuwa tumeshapanga lini tuonane
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla
Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu
Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale
Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
YesKabla hujakutana nae ulikua singo?
Mbona unajipa stress kwa mtu ambaye hata hakujali na kikubwa zaid anakuonyeshaWanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla
Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu
Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale
Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
halaf na wewe itabid nikufungulie uzi weweInasikitisha kwa kweli, ndio maisha hayo sali maumivu yatapungua pole pole. Utafika kujiona siku moja na kujishangaa ma kucheka.
Dawa moja pata mtu akupe raha, itatoka hiyoooo na utaona kumbe hata hukumjua miaka yote hiyo ambayo hamkuwasiliana..
Utavuka daraja, kuwa na subira
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla
Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu
Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale
Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
Thanks for good advicepambana na hali yako
huyo tayari ana fanya utaratibu wa kukuacha na wewe jiongeze, tafuta namna ya kumsahau, punguza kumtafuta, fanya mpango uondoe mawasiliano naye, fanya ishu nyingine ziku kip busy pia uwe open kukutana na watu wengine na tumia muda mwingina marafiki zako.
utajikuta hadi siku anakuja kukwambia rasmi muachanae una muaga fresh tu na unaendelea na life.