Naumizwa na mapenzi

Naumizwa na mapenzi

Tunaweza Kumfungulia Kesi Ya Tort Of Nervous Shock Kama Unataka.
Hahahahaha Just Joking. Pole Sanaaaa!!
 
Mi mama swalehe kaniacha na swalehe wangu mapenz bwana uwiiii
 
Dawa za maumivu zipo.
Meza diclofenac kama una maumivu ya kichwa, misuli nk yataisha
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
tumia dawa3 inatuliza maumivu na yakizd fata ushaur wa daktar
 
pambana na hali yako
huyo tayari ana fanya utaratibu wa kukuacha na wewe jiongeze, tafuta namna ya kumsahau, punguza kumtafuta, fanya mpango uondoe mawasiliano naye, fanya ishu nyingine ziku kip busy pia uwe open kukutana na watu wengine na tumia muda mwingina marafiki zako.
utajikuta hadi siku anakuja kukwambia rasmi muachanae una muaga fresh tu na unaendelea na life.
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
 

Attachments

  • FB_IMG_1498730394597.jpg
    FB_IMG_1498730394597.jpg
    34.4 KB · Views: 29
Humu utampata atakaye cover nafasi yake kama si leo basi ni kesho maana huku kuna madini utapata mwenye sifa hizo ulizotaja na pengine kuzidi, ki uzoefu kama pleyer mstaafu huyo jamaa mjanja mjanja unaweza tiwa mimba afu ukaja mpata ktk simu siku umezaa tena kujua tu umezaa mtoto afanana naye? Wa kike ama kiume? Usifuate ushauri wangu Tafadhali...
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
Mbona unajipa stress kwa mtu ambaye hata hakujali na kikubwa zaid anakuonyesha
 
Inasikitisha kwa kweli, ndio maisha hayo sali maumivu yatapungua pole pole. Utafika kujiona siku moja na kujishangaa ma kucheka.

Dawa moja pata mtu akupe raha, itatoka hiyoooo na utaona kumbe hata hukumjua miaka yote hiyo ambayo hamkuwasiliana..

Utavuka daraja, kuwa na subira
halaf na wewe itabid nikufungulie uzi wewe
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
 

Attachments

  • FB_IMG_1498511934005.jpg
    FB_IMG_1498511934005.jpg
    52 KB · Views: 39
pambana na hali yako
huyo tayari ana fanya utaratibu wa kukuacha na wewe jiongeze, tafuta namna ya kumsahau, punguza kumtafuta, fanya mpango uondoe mawasiliano naye, fanya ishu nyingine ziku kip busy pia uwe open kukutana na watu wengine na tumia muda mwingina marafiki zako.
utajikuta hadi siku anakuja kukwambia rasmi muachanae una muaga fresh tu na unaendelea na life.
Thanks for good advice
 
Haya ni majanga kwa kweli sijui huwa wanawazaga nini.. Mtu unaumia weeeeeee...!
 
Back
Top Bottom