Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

Ni mara nyingi sana mtu unabaguliwa lakini basi tu. Yaani unapanda treni ya mwendo kasi ukikaa kwenye siti wanahama wote. Nimejisikia vibaya sana aisee.

Ni zaid ya kunyanyapaliwa
Ila ukirudi Huku kwetu unatuita wa uswhilini ukiwa huko unajifanya mwenzetu .Mtu mweusi yupo salama Afrika tu.
 
Chochote utakachosikia blacks ni hivi, wazungu ni hivi ni uongo.

Ama outright uongo, ama vast simplifications.

Watu tofauti katika jamii wana fikra tofauti.

Kuna watu weusi na weupe wanapenda sana Waafrika na Uafrika. Ukikutana nao hawaishi kukuuliza umetoka wapi, kukuuliza uongee Kiswahili, kukuulizia kuhusu kuja Tanzania etc.

Halafu kuna watu weusi na weupe washenzi wa tabia.

Mara nyingine ni suala la social economic status zaidi ya race. Watu walioelimika wanaofanya kazi za hadhi ya juu, wanaojielewa, waliosafiri, wanakuwa hawana matatizo sana kama watu wasioelimika, wenye matatizo ya kiuchumi, ambao hawajasafiri etc.

Sasa mtu mwenye experience ya blacks wa ghetto atakuwa na experience tofauti na yangu mimi ninayekaa leafy suburbs.
well said mkuu...

hamna kitu kizuri kama expossure ya kuishi maeneo mbalimbali yenye tamaduni tofauti n.k

kwa upande wako ni jambo gani lililokushangaza sana(kitamaduni) ulivyofika huko kwa mara ya kwanza ?.
 
well said mkuu...

hamna kitu kizuri kama expossure ya kuishi maeneo mbalimbali yenye tamaduni tofauti n.k

kwa upande wako ni jambo gani lililokushangaza sana(kitamaduni) ulivyofika huko kwa mara ya kwanza ?.

Maisha ya Marekani niliyasoma sana kwenye Newsweek na kuyafuatilia sana kwenye movies na TV shows kabla ya kuja huku, kwa hivyo, hilo lilisaidia kutoshangaa sana.

Ila kuna mengine bado nilishangaa tu.

Kwa mfano.

Ukienda restaurant, kinywaji (soft drinks) unalipia mara moja, lakini ukimaliza kunywa unaruhusiwa kurudia kujaza kadiri unavyotaka.

Dukani ukiona bei ya kitu, bei iliyowekwa si hela utakayolipa kununua kitu, bei iliyowekwa ni kabla ya mahesabu ya kodi. Kujua bei halisi mpaka upige mahesabu ya kodi.

Watu kutupa vitu kama samani za ndani kwa sababu wanataka kubadilisha tu.

Vyoo vya public kuwa wazi chini. Bongo tunasema kuna vyoo vya passport size, Marekani vyoo vya public chini viko wazi mtu akipita nje anakuona miguu.

Size za vyakula ni kubwa sana, mtu unapimiwa chakula kama cha kula watu wawili.

The sheer number of brands was at first overwhelming. Mtu umejitokea Bongo ushazoea uchaguzi ni kati ya Blue Band na Tan Bond, na hiyo Tan Bond yenyewe haionekani, au Omo na Foma, halafu unaenda supermarket unakutana na detergent brands 20 tofauti, butter brands 20 tofauti mpaka unashindwa kuchagua.

Ordering food was a big culture shock, mtu anataja mazagazaga kama kumi tofauti yote yaingie kwenye burger, wewe mbongo siku za kwanza huyajui inabidi ufanye homework.

Nyumba nyingi zimejengwa kwa mbao na ku assemble pre fabricated materials, nafikiri kwa sababu ya hali ya hewa. Kutoka sehemu ambayo watu wamejenga nyumba kwa matofali ilikuwa tofauti sana.

Madeni, kila mtu ana credit card na madeni. Kila mtu ana mortgage nayo ni deni.Madeni ni kama lifestyle, ukiwa huna madeni watu wanakuona una tatizo, huna credit nzuri labda.

Watoto wadogo wanauliza maswali kama watu wazima, na wanategemea uwajibu seriously.

Kuweza kupata kazi na kupanda cheo bila kutumia mjomba wala shangazi, kwa juhudi zako tu kazini.

Ujinga wa Wamarekani wengi kuhusu Jiografia. Kuna watu hawajui hata Canada na Mexico ziko wapi. Kuna dada mmoja ana kazi nzuri tu benki kubwa, alikuwa anafikiri Mexico iko kaskazini ya Marekani na Canada ipo kusini. Ukisema unatoka Tnzania, East Africa, wanakuuliza, is that near Nigeria?

Ukubwa wa nchi. Marekani ni nchi kubwa, hili nililijua, lakini ni jambo moja kuangalia kwenye ramani, jambo tofauti kutembea kuzunguka nchi. Ukizoea vinchi vya ulaya, uki drive mara umertoka Belgium, kidogo tu ushaingia France. Marekani unaweza kuendesha siku nzima bado upo state moja tu hujaimaliza.

Watu wa nje kutoka kila nchi wanavyoweza kuja na kufanya kazi bila mgogoro mkubwa sana. Ingawa hili linabadilika siku hizi utawala wa Trump.

Nchi moja, lakini sheria kibao zinatofautiana kwa jimbo. Jimbo hili linaweza kuruhusu kuvuta bangi, lingine haliruhusu. Jimbo hili lina income tax, lingine halina.

Mambo mengi sana.
 
Unavyojisikia vibaya ndo unawaboost.Wakiinuka kwenye hizo siti badala ya kukaa we lala kabisa.Acha kuendekeza stress za kipuuzi-puuzi.Muda tuliopewa wa kukaa hapa duniani ni mchache sana.Epuka kuwa dampo la kila taka.
Ni mara nyingi sana mtu unabaguliwa lakini basi tu. Yaani unapanda treni ya mwendo kasi ukikaa kwenye siti wanahama wote. Nimejisikia vibaya sana aisee.

Ni zaid ya kunyanyapaliwa
 
Maisha ya Marekani niliyasoma sana kwenye Newsweek na kuyafuatilia sana kwenye movies na TV shows kabla ya kuja huku, kwa hivyo, hilo lilisaidia kutoshangaa sana.

Ila kuna mengine bado nilishangaa tu.

Kwa mfano.

Ukienda restaurant, kinywaji (soft drinks) unalipia mara moja, lakini ukimaliza kunywa unaruhusiwa kurudia kujaza kadiri unavyotaka.

Dukani ukiona bei ya kitu, bei iliyowekwa si hela utakayolipa kununua kitu, bei iliyowekwa ni kabla ya mahesabu ya kodi. Kujua bei halisi mpaka upige mahesabu ya kodi.

Watu kutupa vitu kama samani za ndani kwa sababu wanataka kubadilisha tu.

Vyoo vya public kuwa wazi chini. Bongo tunasema kuna vyoo vya passport size, Marekani vyoo vya public chini viko wazi mtu akipita nje anakuona miguu.

Size za vyakula ni kubwa sana, mtu unapimiwa chakula kama cha kula watu wawili.

The sheer number of brands was at first overwhelming. Mtu umejitokea Bongo ushazoea uchaguzi ni kati ya Blue Band na Tan Bond, na hiyo Tan Bond yenyewe haionekani, au Omo na Foma, halafu unaenda supermarket unakutana na detergent brands 20 tofauti, butter brands 20 tofauti mpaka unashindwa kuchagua.

Ordering food was a big culture shock, mtu anataja mazagazaga kama kumi tofauti yote yaingie kwenye burger, wewe mbongo siku za kwanza huyajui inabidi ufanye homework.

Nyumba nyingi zimejengwa kwa mbao na ku assemble pre fabricated materials, nafikiri kwa sababu ya hali ya hewa. Kutoka sehemu ambayo watu wamejenga nyumba kwa matofali ilikuwa tofauti sana.

Madeni, kila mtu ana credit card na madeni. Kila mtu ana mortgage nayo ni deni.Madeni ni kama lifestyle, ukiwa huna madeni watu wanakuona una tatizo, huna credit nzuri labda.

Watoto wadogo wanauliza maswali kama watu wazima, na wanategemea uwajibu seriously.

Kuweza kupata kazi na kupanda cheo bila kutumia mjomba wala shangazi, kwa juhudi zako tu kazini.

Ujinga wa Wamarekani wengi kuhusu Jiografia. Kuna watu hawajui hata Canada na Mexico ziko wapi. Kuna dada mmoja ana kazi nzuri tu benki kubwa, alikuwa anafikiri Mexico iko kaskazini ya Marekani na Canada ipo kusini. Ukisema unatoka Tnzania, East Africa, wanakuuliza, is that near Nigeria?

Ukubwa wa nchi. Marekani ni nchi kubwa, hili nililijua, lakini ni jambo moja kuangalia kwenye ramani, jambo tofauti kutembea kuzunguka nchi. Ukizoea vinchi vya ulaya, uki drive mara umertoka Belgium, kidogo tu ushaingia France. Marekani unaweza kuendesha siku nzima bado upo state moja tu hujaimaliza.

Watu wa nje kutoka kila nchi wanavyoweza kuja na kufanya kazi bila mgogoro mkubwa sana. Ingawa hili linabadilika siku hizi utawala wa Trump.

Nchi moja, lakini sheria kibao zinatofautiana kwa jimbo. Jimbo hili linaweza kuruhusu kuvuta bangi, lingine haliruhusu. Jimbo hili lina income tax, lingine halina.

Mambo mengi sana.
aisee mkuu hongera sana.

sijabahatika kufika huko ila naamin siku nikifika ntahitaji kama mwezi ushamba unitoke kwanza maana kwa mambo ambayo umetaja hapo kwa mtu ambaye hajawahi kufika lazima atoke bikra ya mshangao.

Ni jimbo lipi jepesi kwa mgeni kuzoea , yaani lenye wajanja wachache kiasi sio ambalo ukifika unaingizwa cha kike siku hiyo hiyo !!
 
Maisha ya Marekani niliyasoma sana kwenye Newsweek na kuyafuatilia sana kwenye movies na TV shows kabla ya kuja huku, kwa hivyo, hilo lilisaidia kutoshangaa sana.

Ila kuna mengine bado nilishangaa tu.

Kwa mfano.

Ukienda restaurant, kinywaji (soft drinks) unalipia mara moja, lakini ukimaliza kunywa unaruhusiwa kurudia kujaza kadiri unavyotaka.

Dukani ukiona bei ya kitu, bei iliyowekwa si hela utakayolipa kununua kitu, bei iliyowekwa ni kabla ya mahesabu ya kodi. Kujua bei halisi mpaka upige mahesabu ya kodi.

Watu kutupa vitu kama samani za ndani kwa sababu wanataka kubadilisha tu.

Vyoo vya public kuwa wazi chini. Bongo tunasema kuna vyoo vya passport size, Marekani vyoo vya public chini viko wazi mtu akipita nje anakuona miguu.

Size za vyakula ni kubwa sana, mtu unapimiwa chakula kama cha kula watu wawili.

The sheer number of brands was at first overwhelming. Mtu umejitokea Bongo ushazoea uchaguzi ni kati ya Blue Band na Tan Bond, na hiyo Tan Bond yenyewe haionekani, au Omo na Foma, halafu unaenda supermarket unakutana na detergent brands 20 tofauti, butter brands 20 tofauti mpaka unashindwa kuchagua.

Ordering food was a big culture shock, mtu anataja mazagazaga kama kumi tofauti yote yaingie kwenye burger, wewe mbongo siku za kwanza huyajui inabidi ufanye homework.

Nyumba nyingi zimejengwa kwa mbao na ku assemble pre fabricated materials, nafikiri kwa sababu ya hali ya hewa. Kutoka sehemu ambayo watu wamejenga nyumba kwa matofali ilikuwa tofauti sana.

Madeni, kila mtu ana credit card na madeni. Kila mtu ana mortgage nayo ni deni.Madeni ni kama lifestyle, ukiwa huna madeni watu wanakuona una tatizo, huna credit nzuri labda.

Watoto wadogo wanauliza maswali kama watu wazima, na wanategemea uwajibu seriously.

Kuweza kupata kazi na kupanda cheo bila kutumia mjomba wala shangazi, kwa juhudi zako tu kazini.

Ujinga wa Wamarekani wengi kuhusu Jiografia. Kuna watu hawajui hata Canada na Mexico ziko wapi. Kuna dada mmoja ana kazi nzuri tu benki kubwa, alikuwa anafikiri Mexico iko kaskazini ya Marekani na Canada ipo kusini. Ukisema unatoka Tnzania, East Africa, wanakuuliza, is that near Nigeria?

Ukubwa wa nchi. Marekani ni nchi kubwa, hili nililijua, lakini ni jambo moja kuangalia kwenye ramani, jambo tofauti kutembea kuzunguka nchi. Ukizoea vinchi vya ulaya, uki drive mara umertoka Belgium, kidogo tu ushaingia France. Marekani unaweza kuendesha siku nzima bado upo state moja tu hujaimaliza.

Watu wa nje kutoka kila nchi wanavyoweza kuja na kufanya kazi bila mgogoro mkubwa sana. Ingawa hili linabadilika siku hizi utawala wa Trump.

Nchi moja, lakini sheria kibao zinatofautiana kwa jimbo. Jimbo hili linaweza kuruhusu kuvuta bangi, lingine haliruhusu. Jimbo hili lina income tax, lingine halina.

Mambo mengi sana.

Umeniwahi!

Nilikuwa najiandaa kuanzisha uzi wa mambo yaliyonishangaza kuhusu Marekani.

Baadhi ya hayo mambo umeyataja. Na tayari nilikuwa nishapiga na picha kama vielelezo.

1. Vyoo vya sehemu za umma. Iwe kazini, shuleni, mall, migahawani, uwanja wa ndege, nk, si tu viko wazi kwa chini [ambapo mtu unaweza hata kutambaa ukaingia na kutoka], pia vina nyufa ambazo mtu aliyeko kwa nje anaweza kumwona aliyeko ndani na akifanyacho. Mpaka leo hii sijaelewa kabisa sababu ya hilo.

Hebu ona hivyo vyoo hapo! Mtu ukiwa unajiachia haja kubwa mtu anaona kabisa viatu vyako na hata suruali yako kama umeivua hadi chini.

D3AB8B35-700A-4298-B9F6-5693D23DE055.jpeg

Ona huo uwazi hapo chini! Yaani hakuna faragha kabisa. Mi ndo maana huwa najizuia kwenda haja kubwa kwenye sehemu za umma. I’ll hold it till I get home.

045D4D94-8045-4538-81D7-A27D20846F91.jpeg
AB85942E-CC35-4846-A647-3B3DC615530B.jpeg


2] Nyumba za mbao! Nyumba nyingi sana zimejengwa kwa mbao.

Hata ukiona nyumba inayoonekana ni ya matofali ya kuchoma, mara nyingi hayo matofali huwa yanapachikwa kama urembo tu.

Kutumia mbao kuna faida zake. Moja ni gharama. Kujengea mbao gharama yake ni nafuu kushinda kutumia matofali ya simenti.

Pia, kutumia mbao kunafanya ‘remodeling’ iwe rahisi zaidi. Kukata kuta za mbao na kuongeza chumba au kupanua chumba au kubadili mwonekano ni rahisi zaidi kushinda kuvunja ukuta wa simenti!

C8CCF6E8-502E-4258-83A2-5A51AF3A2566.jpeg


Mfano wa nyumba yenye front brick exterior, hapo juu.

Hapo chini ni ndani. Mbao kuanzia sakafu hadi kuta.

010116BF-7546-4FCE-9987-FE6472E31705.jpeg


Ndani ni mbao tu.

CA82E213-230C-4905-8845-38050299AF1E.jpeg
00839457-23CF-4125-9AD9-4E55729042C3.jpeg
BEBD9CD1-1187-44E6-8BBF-F3E62B310064.jpeg


Mengine ninayoweza kuongeza ni:

Matangazo ya mawakili. Tanzania nasikia ni marufuku kwa mawakili kujitangaza.

Kwenye sehemu nyingi Marekani, hilo halipo. Matangazo ya mawakili yapo kila sehemu. Yapo kwenye mabehewa ya subway trains, kwenye mabasi ya usafiri wa umma, mabango ya barabarani na kwingineko.

F25C3B3E-DD80-4DA4-A1D5-8BF90167E7EF.jpeg


Hapo juu ni tangazo la mawakili wanaohusika na talaka za ndoa za watu. Ona jinsi walivyo wabunifu katika kucheza na lugha!

Bado huwa sielewi kwa nini Tanzania ni marufuku kwa wakili kutangaza huduma anazotoa madhali hasemi uongo.

Jingine lililonishangaza sana ni urahisi wa watu kumiliki magari.

Mfano, shule, high school na vyuo, zikiwa in session, parking lots huwa zinajaa mno.

Na mengi ya hayo magari ni ya wanafunzi. Wanafunzi wa sekondari na vyuo wana magari.

Kumiliki gari siyo ishu kabisa.

Jingine ni sheria tofauti tofauti kati ya jimbo na jimbo na hata ndani ya miji iliyopo katika jimbo moja!!

Kuna majimbo hayana state income tax. Na kuna majimbo state income tax yake ni balaa.

Mpaka miaka michache iliyopita, kulikuwa na walau majimbo mawili yaliyokuwa yanakataza uuzwaji wa pombe siku za Jumapili. Indiana na Georgia.

Georgia najua wamelegeza hilo sharti siku hizi. Uamuzi umeachwa kwa local jurisdictions.
 

Attachments

  • 6E70E1CC-F630-460B-B2DF-0BAE9CFE3D6F.jpeg
    6E70E1CC-F630-460B-B2DF-0BAE9CFE3D6F.jpeg
    414 KB · Views: 1
  • 706705F4-738E-41E1-B7D6-8A92732EA18D.jpeg
    706705F4-738E-41E1-B7D6-8A92732EA18D.jpeg
    318 KB · Views: 1
Mzee una exposure finyu sana

Lol so hiyo culture ya wanaume wa kiafrika majority kumuongelea wanawake negatively ndio inafanya waafrika wawe wabaguzi kuliko wazungu?

Mbona wazungu na wenyewe wana msemo wao maarufu kwamba "all boys/men are dogs"?

Na wenyewe tuseme kisa kajeruhiwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja na kuchukulia wanaume wote duniani ni mbwa, nao ni ubaguzi?

Come on, that's nonsense
Hahaa, ukitaka kujua watu weusi walivyo, tazama jinsi wanavyowa treat wanawake na kuwasema.
Mtu anaanzisha mada na kusema wanawake sijui akili zao zipo finyu na anaungwa mkono na watu wengi tu,
Kisa alisalitiwa na mwanamke, generalization ya ajabu
 
Ni mara nyingi sana mtu unabaguliwa lakini basi tu. Yaani unapanda treni ya mwendo kasi ukikaa kwenye siti wanahama wote. Nimejisikia vibaya sana aisee.

Ni zaid ya kunyanyapaliwa
Wakihama, lala kabisa kwemye kiti badala ya kukaa:)
 
Umeniwahi!

Nilikuwa najiandaa kuanzisha uzi wa mambo yaliyonishangaza kuhusu Marekani.

Baadhi ya hayo mambo umeyataja. Na tayari nilikuwa nishapiga na picha kama vielelezo.

1. Vyoo vya sehemu za umma. Iwe kazini, shuleni, mall, migahawani, uwanja wa ndege, nk, si tu viko wazi kwa chini [ambapo mtu unaweza hata kutambaa ukaingia na kutoka], pia vina nyufa ambazo mtu aliyeko kwa nje anaweza kumwona aliyeko ndani na akifanyacho. Mpaka leo hii sijaelewa kabisa sababu ya hilo.

Hebu ona hivyo vyoo hapo! Mtu ukiwa unajiachia haja kubwa mtu anaona kabisa viatu vyako na hata suruali yako kama umeivua hadi chini.

View attachment 1286869
Ona huo uwazi hapo chini! Yaani hakuna faragha kabisa. Mi ndo maana huwa najizuia kwenda haja kubwa kwenye sehemu za umma. I’ll hold it till I get home.

View attachment 1286870View attachment 1286872

2] Nyumba za mbao! Nyumba nyingi sana zimejengwa kwa mbao.

Hata ukiona nyumba inayoonekana ni ya matofali ya kuchoma, mara nyingi hayo matofali huwa yanapachikwa kama urembo tu.

Kutumia mbao kuna faida zake. Moja ni gharama. Kujengea mbao gharama yake ni nafuu kushinda kutumia matofali ya simenti.

Pia, kutumia mbao kunafanya ‘remodeling’ iwe rahisi zaidi. Kukata kuta za mbao na kuongeza chumba au kupanua chumba au kubadili mwonekano ni rahisi zaidi kushinda kuvunja ukuta wa simenti!

View attachment 1286877

Mfano wa nyumba yenye front brick exterior, hapo juu.

Hapo chini ni ndani. Mbao kuanzia sakafu hadi kuta.

View attachment 1286879

Ndani ni mbao tu.

View attachment 1286881View attachment 1286882View attachment 1286883

Mengine ninayoweza kuongeza ni:

Matangazo ya mawakili. Tanzania nasikia ni marufuku kwa mawakili kujitangaza.

Kwenye sehemu nyingi Marekani, hilo halipo. Matangazo ya mawakili yapo kila sehemu. Yapo kwenye mabehewa ya subway trains, kwenye mabasi ya usafiri wa umma, mabango ya barabarani na kwingineko.

View attachment 1286892

Hapo juu ni tangazo la mawakili wanaohusika na talaka za ndoa za watu. Ona jinsi walivyo wabunifu katika kucheza na lugha!

Bado huwa sielewi kwa nini Tanzania ni marufuku kwa wakili kutangaza huduma anazotoa madhali hasemi uongo.

Jingine lililonishangaza sana ni urahisi wa watu kumiliki magari.

Mfano, shule, high school na vyuo, zikiwa in session, parking lots huwa zinajaa mno.

Na mengi ya hayo magari ni ya wanafunzi. Wanafunzi wa sekondari na vyuo wana magari.

Kumiliki gari siyo ishu kabisa.

Jingine ni sheria tofauti tofauti kati ya jimbo na jimbo na hata ndani ya miji iliyopo katika jimbo moja!!

Kuna majimbo hayana state income tax. Na kuna majimbo state income tax yake ni balaa.

Mpaka miaka michache iliyopita, kulikuwa na walau majimbo mawili yaliyokuwa yanakataza uuzwaji wa pombe siku za Jumapili. Indiana na Georgia.

Georgia najua wamelegeza hilo sharti siku hizi. Uamuzi umeachwa kwa local jurisdictions.
mkuu nakuomba sana kwa faida ya wengi wenye ndoto za kufika huko uanzishe uzi huo..

Naamini utatufundisha mambo mengi sana
 
Hakuna toxic yoyote hapo!

Unapokaa kwenye gari kisha wazungu wakakukimbia, ujue wanakuogopa wanakuona mwizi au kibaka. Wanahofia usije kuwapora.

Aidha, wanadhani una magonjwa mabaya ya kuambukiza au unanuka. Hasa magonjwa uliyoyabeba kutoka Africa kama vile ebola na magonjwa ya ngozi!

Wana haki ya kufanya huo ubaguzi potelea mbali kama walilishwa stereotypes za uongo au vinginevyo. Wanachofanya ni kujilinda. Hata ingelikuwa wewe ungefanya hivyo pia!

Lakini ubaguzi wenu ninyi watu weusi ni ubaguzi mbaya sana wenye sumu kali.

Angalia tu namna unavyompa treatment huyo binti wa nyumbani hapo! Mpaka shetani anaziba mdomo!

Mnawadharau wanawake, mnawaua maalbino, genocide za Rwanda, homophobia, ufisadi dhidi ya tabaka la chini, udikteta!

Hakuna kitu toxic zaidi ya hayo! You people are very TOXIC like nobody else!
We nawe umejaza tu pumba hapa

It depends sababu kuna ubaguzi kwenye cases tofauti mfano kuna dada flani aliolewa na mzungu huko Scandinavia, waliondoka bongo na kuamishia Makazi mapya huko

Huyo dada alipata ujauzito huko ulaya, kikawaida wakati mtu ni mjamzito anaweza kupata huduma ya kuhudumiwa na daktari kwa kufatwa nyumbani

Mmewe yule dada kampigia simu Dr wa kike, kaongea nae fresh kuhusu ujauzito wa mkewe, wamepanga fresh siku ya kuja kumuhudumia, yule Dr alikuja akamuhudumia siku ya kwanza, routine ilipofika arudi tena kumuhudumia yule mbongo alimblock kabisa na wala hakutaka mawasiliano nao tena katu katu

Sasa kwa case kama hii, hizo pumba zako hapo juu zina apply wapi hapo?
 
mkuu nakuomba sana kwa faida ya wengi wenye ndoto za kufika huko uanzishe uzi huo..

Naamini utatufundisha mambo mengi sana

I will!

Jingine la kushangaza, Marekani wanaita vyoo ‘restrooms’ au ‘bathrooms’.

Mpaka sasa sijaelewa kabisa sababu ya hilo.

Ukienda sehemu na kuuliza ‘where are the toilets’ watu wanaweza kukushangaa sana na huenda wengine hata wasikuelewe unachokiuliza.
 
I will!

Jingine la kushangaza, Marekani wanaita vyoo ‘restrooms’ au ‘bathrooms’.

Mpaka sasa sijaelewa kabisa sababu ya hilo.

Ukienda sehemu na kuuliza ‘where are the toilets’ watu wanaweza kukushangaa sana na huenda wengine hata wasikuelewe unachokiuliza.
Ila Mkuu kunajamaa yangu anaishi Spring Taxes (houston Taxes) ananifanyia mpango nije huko

Hili Je hili jimbo la houston Taxes unalifahamu vizuri.ila nimesoma kwenge google lina African -American kibao sana?


Ebu naomba mawili matatu kuhusu hili jimbo kama unalifahamu vizuri
Kuhusu wahuni wajanja huko
 
Ila Mkuu kunajamaa yangu anaishi Spring Taxes (houston Taxes) ananifanyia mpango nije huko

Hili Je hili jimbo la houston Taxes unalifahamu vizuri.ila nimesoma kwenge google lina African -American kibao sana?


Ebu naomba mawili matatu kuhusu hili jimbo kama unalifahamu vizuri
Kuhusu wahuni wajanja huko

1. Houston, Texas. Siyo ‘Taxes’.

2. Kama kuna African-Americans wengi, tatizo ni nini? African-Americans siyo binadamu?
 
Umeniwahi!

Nilikuwa najiandaa kuanzisha uzi wa mambo yaliyonishangaza kuhusu Marekani.

Baadhi ya hayo mambo umeyataja. Na tayari nilikuwa nishapiga na picha kama vielelezo.

1. Vyoo vya sehemu za umma. Iwe kazini, shuleni, mall, migahawani, uwanja wa ndege, nk, si tu viko wazi kwa chini [ambapo mtu unaweza hata kutambaa ukaingia na kutoka], pia vina nyufa ambazo mtu aliyeko kwa nje anaweza kumwona aliyeko ndani na akifanyacho. Mpaka leo hii sijaelewa kabisa sababu ya hilo.

Hebu ona hivyo vyoo hapo! Mtu ukiwa unajiachia haja kubwa mtu anaona kabisa viatu vyako na hata suruali yako kama umeivua hadi chini.

View attachment 1286869
Ona huo uwazi hapo chini! Yaani hakuna faragha kabisa. Mi ndo maana huwa najizuia kwenda haja kubwa kwenye sehemu za umma. I’ll hold it till I get home.

View attachment 1286870View attachment 1286872

2] Nyumba za mbao! Nyumba nyingi sana zimejengwa kwa mbao.

Hata ukiona nyumba inayoonekana ni ya matofali ya kuchoma, mara nyingi hayo matofali huwa yanapachikwa kama urembo tu.

Kutumia mbao kuna faida zake. Moja ni gharama. Kujengea mbao gharama yake ni nafuu kushinda kutumia matofali ya simenti.

Pia, kutumia mbao kunafanya ‘remodeling’ iwe rahisi zaidi. Kukata kuta za mbao na kuongeza chumba au kupanua chumba au kubadili mwonekano ni rahisi zaidi kushinda kuvunja ukuta wa simenti!

View attachment 1286877

Mfano wa nyumba yenye front brick exterior, hapo juu.

Hapo chini ni ndani. Mbao kuanzia sakafu hadi kuta.

View attachment 1286879

Ndani ni mbao tu.

View attachment 1286881View attachment 1286882View attachment 1286883

Mengine ninayoweza kuongeza ni:

Matangazo ya mawakili. Tanzania nasikia ni marufuku kwa mawakili kujitangaza.

Kwenye sehemu nyingi Marekani, hilo halipo. Matangazo ya mawakili yapo kila sehemu. Yapo kwenye mabehewa ya subway trains, kwenye mabasi ya usafiri wa umma, mabango ya barabarani na kwingineko.

View attachment 1286892

Hapo juu ni tangazo la mawakili wanaohusika na talaka za ndoa za watu. Ona jinsi walivyo wabunifu katika kucheza na lugha!

Bado huwa sielewi kwa nini Tanzania ni marufuku kwa wakili kutangaza huduma anazotoa madhali hasemi uongo.

Jingine lililonishangaza sana ni urahisi wa watu kumiliki magari.

Mfano, shule, high school na vyuo, zikiwa in session, parking lots huwa zinajaa mno.

Na mengi ya hayo magari ni ya wanafunzi. Wanafunzi wa sekondari na vyuo wana magari.

Kumiliki gari siyo ishu kabisa.

Jingine ni sheria tofauti tofauti kati ya jimbo na jimbo na hata ndani ya miji iliyopo katika jimbo moja!!

Kuna majimbo hayana state income tax. Na kuna majimbo state income tax yake ni balaa.

Mpaka miaka michache iliyopita, kulikuwa na walau majimbo mawili yaliyokuwa yanakataza uuzwaji wa pombe siku za Jumapili. Indiana na Georgia.

Georgia najua wamelegeza hilo sharti siku hizi. Uamuzi umeachwa kwa local jurisdictions.
Mawakili hawajitangazi kivipi? Mbona Matangazo ya huduma za advocates zipo maeneo mengi tu huko mitaani?
 
Mawakili hawajitangazi kivipi? Mbona Matangazo ya huduma za advocates zipo maeneo mengi tu huko mitaani?

Sijui.

Mimi nimesema kuwa ‘nasikia’ hawajitangazi kwa sababu ni marufuku.

Sina taarifa za kiundani juu ya hilo.

Kama ‘nilichosikia’ ni uongo, sawa. Nakubali kusahihishwa.
 
Back
Top Bottom