Sio kuchemsha boiling, ni kiyafanya ya evaporate .. evaporation.....
Hii kitu nayo inahitaji mtaji mkuu
Ungeuliza, Serikali itakuajiri lini? Maana ajira kila mwezi zinatoka, ila sema tu bado hujafanikiwa kuipataNi lini serikali kuu itatoa ajira ili vijana tusiiangushe hii serikali maana tumechoka kushauriwa kujiajiri na watu ambao wameajiriwa. Hatuna mitaji tusaidieni vijana tunazidi kuzeeka. Toka tumalize chuo miaka mitano imeisha.
Piga calculations hapo mkuuMimi nimeona hii nikajua ni simple tu na
Unaweza kutengeneza na cost ni umeme tu au mkaa
View attachment 1267742
Huyu analeta mzahaMiaka mitano bado unasubiri ajira??
Piga calculations hapo mkuu
Kuyatoa maji yenye chumvi kutokea jotoridi lake let say ni normal environmental temperature ya 28 degree centigrade uyapeleke hadi around 90 degrees centigrade hapa tunaita sensible heat then uyapeleke kwenye latent heat of vaporization hii baba ndo pale yanapoanza ku evaporate nako kuna energy yake
Calculate total joule then convert kwenye kiwango cha umeme KWH au mkaa iliujue utahitaji kiwango gani cha umeme then use your local exchange rate to convert ili ujue kiwango gani cha pesa unahitajika kukitoa
Ulisomea nini? Isije ikawa ArchaeologyNi lini serikali kuu itatoa ajira ili vijana tusiiangushe hii serikali maana tumechoka kushauriwa kujiajiri na watu ambao wameajiriwa. Hatuna mitaji tusaidieni vijana tunazidi kuzeeka. Toka tumalize chuo miaka mitano imeisha.
Kwa nini usiandike kiswahili tu... Your not be serious ndo nini sasaYour not be seriously !!!
Five years ??
Kwani labda unakilema mfano, wenzio wamejiongeza Acha kusubiri chukua hatua now
Ujumbe umefika ndo la muhimuKwa nini usiandike kiswahili tu... Your not be serious ndo nini sasa
Unamaanisha nini?Vijana mnakwama wapi?
Hamjui taifa liko mikononi mwenu?
Na nchi yenu? Nanyi ndo mnaamua hatima ya nchi yenu? Na serikali inatoka kwenu?
Ni lini basi mtazinduka kutoka usingizini na kuacha kulalamika? Sisi babu zenu twalalamika nguvu zimetuishia, nanyi mwalalamika? Kama hamjui nafasi yenu si mfe tu?