Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,094
- 62,013
Kwa hapa Dar chimbo gani zuri kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi;nataka nikapoteze poteze muda kidogo...raha ni kujipa mwenyewe.
ww uko sehemu gani hapa mjiniKwa hapa Dar chimbo gani zuri kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi;nataka nikapoteze poteze muda kidogo...raha ni kujipa mwenyewe.
Nimekuja mbio nusura nivunje miguu nkajua unauliza chimbo za papuchi traders and company
Nipo maeneo ya hapa ubungoww uko sehemu gani hapa mjini
Maua ya dunia yapo?Chaka bovu mtoni kijichi
Wafanyakazi wana raha sana japo maisha yao yako so programmedNaona account inacheka mwisho wa mwezi huu
ha ha ha ha wapi zipo zenye hai kwaliti?Nimekuja mbio nusura nivunje miguu nkajua unauliza chimbo za papuchi traders and company
Nipo kwenye mishe zangu hapa town kwa siku 10,natafuta sehemu za kupumzika kidogoWafanyakazi wana raha sana japo maisha yao yako so programmed
Unapata na nyongezaMaua ya dunia yapo?
ha ha ha ha hao pia muhimumtafutie na hao ili akishina nyama akroe griss
ha ha ha ha ha ha pambanua mkuuUnapata na nyongeza
Kesho jioni nitapatafutaToroka Uje, sijui kama hii sehemu ingali ipo...maeneo fulani karibu na iliyokuwa Nyumbani Lounge...
Kuna mahali fulani mtaa nadhani wa Livingstone K/koo kuna jamaa anauza mbuzi mtamu sana...
ha ha ha ha ngoja aje atoe chimboKiduku Lilo anatambua vizuri tuu .