OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,308
Watu wa Juma Nature
Sonia,Mzee Mwalubadu,Mzee wa Busara, Mtoto Idi kazua balaaa!!.
Mtoto wa Geti Kali wa Inspector Haroun
Sokomoko, Pimbi,Mwindaji Komredi Kipepe, Dokta Love, Ndumilakuwili, Lodilofa, Striker Matata Mapung'o (aka Meddie Kagere) wa timu ya Bus Stars. Zena na Betina, Mwinyi Mpeku na wale madogo wachafuzi wa lugha. Hawa walitajwa sana na jarida la Sani
Sadiki na Chitemo, Mtoto Mzuri Mussa na Neema,Mfalme aliyekuwa na masikio kama Punda, Manahodha waliozamisha meli kwa kuzidiwa na utamu wa muwa.
Msanii Babu Ayubu, Mike Tee Mnyalu, Stars Thomas, Kali P nk
Ongeza na wengine. Kimsingi hawa nilikuwa nawasikia tu nikiwa nasoma shule ya msingi kijijini kwetu.
Nahitaji kujua wamepotelea wapi kwa sasa.