Inspector Haroun, King Crazy GK...wako wapi watu hawa?

Inspector Haroun, King Crazy GK...wako wapi watu hawa?

Tanganyika1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
423
Reaction score
90
Jamani leo nlikua nackiliza bongo flava ya old times..nika kutana na Ama zangu ama zao ya east coast na Mtoto wa geti kali. Kiukweli nlikumbuka enzi zile hzo nyimbo zilikua juu..lakini leo hata cjui hawa wasanii wako wapi, cjui wanafanya ninh. Cjui mziki ndo bas au ndo wanajipanga. Yaani sana ya bongo kaazi kweli kweli.
 
muziki wa kibongo ni ka mbio za vijiti,ila life la uswazi ya gangwe mobb ndo huwa inanikumbusha mbali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom