Duuuh mbingu tutaioba kwa shidaaaaAlisha kula mpunga wake kitambo aiseee.....
Kwani haukumuona kwenye uzinduzi wa lile bwawa la kuzalisha umeme mwingi akijumuika nao..??
Kwani ulisha wahi kumuona mtuhumiwa wa kesi ya uhaini mara tu baada ya kuachiwa kwa kufutiwa kesi yake kisha akaenda kupewa pole ikulu...??
Enzi zake ulisha wahi kuona kwenye tafrani yeyote polisi wakikosea hata kwa bahati mbaya wakamjeruhi...??
Jiongeze mkuu....🤥
NTU wa DILI tangia apigwe KO yaani hasira kwa TAL kama zote.Kulikoni sinuoni FAM mdau mkubwa wa CDM?kortini kwenye kesi ya TAL? Nimewaza tuu Kwa SAUTI. GOD HAVE MERCY OVER SISI MALAWIANS
wale die-hard wafuasi wa FAM hawatakuja kurecover kwa mwenendo huu wa jamaaFAM ni msaliti, kashakisaliti chama na harakati zake bila huruma
Mnamuonea Sana Freeman, kwani Zitto yeye ulishawahi kumuona?Kulikoni sinuoni FAM mdau mkubwa wa CDM?kortini kwenye kesi ya TAL? Nimewaza tuu Kwa SAUTI. GOD HAVE MERCY OVER SISI MALAWIANS
Mwamba amejishushia status yake aliyoijenga kwa miaka kwa kasi sana, yeye alianzisha no reform no election kama geresha tu ili baadae waingie mezani na ccm ale mpunga wa kutosha lakini tundu lissu akaivalia njuga hapo ndo shida ikaanza na pia kushindwa uchaguzi kukamfanya aone sasa maslahi yake kwishnei kwakweli amevunja mioyo ya wapambania haki na mabadiliko ya kweli nchini, mbaya zaidi haonekani mahakamani ila kwenye hafla zinazowahusu ccm yupo mstari wa mbele, inahuzunisha sanawale die-hard wafuasi wa FAM hawatakuja kurecover kwa mwenendo huu wa jamaa
mbowe anaangaliwa katika angle nyingi sana kwenye sakata hili kulinganisha na mwamiMnamuonea Sana Freeman, kwani Zitto yeye ulishawahi kumuona?
kaonekana kwenye dira 50 , bwawa la umeme nakisia mara ya 3 katika event kubwa yawezekana ni kutoka kwa TAL kama ataachiwa hivi karibuni, TAL kabadilisha sana mueleko pale chadema, na FAM kasaidia sana kuweka wazi uhalisia wa mambo kwa huu mwenendo wake maana angekua yupo karibu uhalisia usingekua wazi kama ulivyo sasaMwamba amejishushia status yake aliyoijenga kwa miaka kwa kasi sana, yeye alianzisha no reform no election kama geresha tu ili baadae waingie mezani na ccm ale mpunga wa kutosha lakini tundu lissu akaivalia njuga hapo ndo shida ikaanza na pia kushindwa uchaguzi kukamfanya aone sasa maslahi yake kwishnei kwakweli amevunja mioyo ya wapambania haki na mabadiliko ya kweli nchini, mbaya zaidi haonekani mahakamani ila kwenye hafla zinazowahusu ccm yupo mstari wa mbele, inahuzunisha sana
FAM na TAL Wana itikadi tofauti, mmoja alikuwa ni mpinzani anayeng'ata na kupuliza na mmoja ni mpinzani asiyeyumbishwa au kutetereshwa na misimamo yake madhubuti iliyojaa ujasiri na nia ya kweli ya mabadiliko ya kuleta unafuu katika maisha ya wananchi na kupigania mifumo huru na ya haki kwa maslahi mapana ya jamii nzimakaonekana kwenye dira 50 , bwawa la umeme nakisia mara ya 3 katika event kubwa yawezekana ni kutoka kwa TAL kama ataachiwa hivi karibuni, TAL kabadilisha sana mueleko pale chadema, na FAM kasaidia sana kuweka wazi uhalisia wa mambo kwa huu mwenendo wake maana angekua yupo karibu uhalisia usingekua wazi kama ulivyo sasa
magugu lazima yajitengeFAM na TAL Wana itikadi tofauti, mmoja alikuwa ni mpinzani anayeng'ata na kupuliza na mmoja ni mpinzani asiyeyumbishwa au kutetereshwa na misimamo yake madhubuti iliyojaa ujasiri na nia ya kweli ya mabadiliko ya kuleta unafuu katika maisha ya wananchi na kupigania mifumo huru na ya haki kwa maslahi mapana ya jamii nzima