Nauliza swali kwenu watu wajf

Nauliza swali kwenu watu wajf

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
4,800
Reaction score
8,989
Kama madaktari na watu wengine wanasema kutofanya mapenzi muda mrefu ni kupata tatizo la akili .

Nauliza mbona waganga wameoa wake hadi 10 , na zaidi , na bado hawana afya ya akili nawamechanganyikiwa tu . Hadi wengine wanaparamia wateja wao .

Kuna hawa wanaojiuza mbona wao wanafanya mapenzi kila daily na watu tofauti ila wao ndio wanatatizo la afya ya akili.

Hata wanandoa wananyanduana kila daily na ndio wao wana matatizo ya afya ya akili inachoonekana ni kwamba kufanya mapenzi sio afya ya akili bali ni uharibifu wa akili .

Nibora mtu achague kutafuta hela sana kuliko kuweka nguvu katika mapenzi.
 
Madaktari gani hao walisema hivyo?

200.gif
 
Kama madaktari na watu wengine wanasema kutofanya mapenzi muda mrefu ni kupata tatizo la akili .

Nauliza mbona waganga wameoa wake hadi 10 , na zaidi , na bado hawana afya ya akili nawamechanganyikiwa tu . Hadi wengine wanaparamia wateja wao .

Kuna hawa wanaojiuza mbona wao wanafanya mapenzi kila daily na watu tofauti ila wao ndio wanatatizo la afya ya akili.

Hata wanandoa wananyanduana kila daily na ndio wao wana matatizo ya afya ya akili inachoonekana ni kwamba kufanya mapenzi sio afya ya akili bali ni uharibifu wa akili .

Nibora mtu achague kutafuta hela sana kuliko kuweka nguvu katika mapenzi.
Huko kwa waganga wa kienyeji unajitakia mwenyewe, mtu kadidisha anakwambia vuo nguo zote inama nikuingizie dawa wewe unatii. Acha ikuingie.
 
Kama madaktari na watu wengine wanasema kutofanya mapenzi muda mrefu ni kupata tatizo la akili .

Nauliza mbona waganga wameoa wake hadi 10 , na zaidi , na bado hawana afya ya akili nawamechanganyikiwa tu . Hadi wengine wanaparamia wateja wao .

Kuna hawa wanaojiuza mbona wao wanafanya mapenzi kila daily na watu tofauti ila wao ndio wanatatizo la afya ya akili.

Hata wanandoa wananyanduana kila daily na ndio wao wana matatizo ya afya ya akili inachoonekana ni kwamba kufanya mapenzi sio afya ya akili bali ni uharibifu wa akili .

Nibora mtu achague kutafuta hela sana kuliko kuweka nguvu katika mapenzi.
cousin mshauri da mau 😵😹😸
 
Lissu anateseka bure tu huko Ukonga. Kama watu anaowapigania ndiyo hawa afadhali tu arudi zake Ubelgiji 🚮
 
Mapenzi matamu hasa ukimpata mtu sahihi binti usivue chupi kwa kila mwanaume uchi utachoka kabla ya mda 😂😂
 
Kama madaktari na watu wengine wanasema kutofanya mapenzi muda mrefu ni kupata tatizo la akili .

Nauliza mbona waganga wameoa wake hadi 10 , na zaidi , na bado hawana afya ya akili nawamechanganyikiwa tu . Hadi wengine wanaparamia wateja wao .

Kuna hawa wanaojiuza mbona wao wanafanya mapenzi kila daily na watu tofauti ila wao ndio wanatatizo la afya ya akili.

Hata wanandoa wananyanduana kila daily na ndio wao wana matatizo ya afya ya akili inachoonekana ni kwamba kufanya mapenzi sio afya ya akili bali ni uharibifu wa akili .

Nibora mtu achague kutafuta hela sana kuliko kuweka nguvu katika mapenzi.
Kwenye hayo makundi watoe waganga tafadhali.. Ile sip ngono ni tiba.. Baadhi ya dawa hutakiwa uume ndio uingize
 
Back
Top Bottom