avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,322
- 12,732
wewe!!! shule za ata usituaibishe hapa!! wamekuja wenyewe wakenya wamefafanua kuwa kwa sasa export haijaanza wanayapeleka mombasa mpaka kiwango kiwe kikubwa ndio watangaze tenda ya ku export sasa unarudia tuu swali hilo kwani hukusikia juzi serikali ya kenya imelitolea ufafanuzi?Export inaenda wapi, nchi gani inanunua? Ndicho nilichotaka kujua!