CULCULUS
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 316
- 619
Mkuu wangu Tumaini Makene (Afisa Habari wa CHADEMA) na John Mnyika (Mkurugenzi wa Habari na uenezi) pamoja na makanda wengine ndani ya CDM mimi ni miongoni mwa wadau tuliohudhuria ule mkutano wetu mkubwa pale CHADEMA Square a.k.a Jangwani na ni mmoja kati ya tuliochangia pesa za ili ziwapeleka makamanda Lindi na Mtwara kwa ajili ya kupeleka ukombozi wa fikra.
Nauliza tu ni kiasi gani kilipatikana maana imechukua muda taarifa rasmi kutolewa.
Nauliza tu ni kiasi gani kilipatikana maana imechukua muda taarifa rasmi kutolewa.