Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Mambo mengine ni siri ya chama sio kila kitu mpaka mfahamishwe...au umetumwa kuja kukichafua chama.
mkubwa!...hivi ni wewe kweli ninae kujua hapa jamvini!hizi busara umetoa wap?au ndo kuanza kuvua gamba taratibu na kuva gwanda?....labda nimekufananisha nini?