Nauliza jamani

dawa, virutubisho, sabuni mara kugawana hela ukiingiza watu wengi n.k
 
Sijaelewa umeandika nini. Sabuni mara kugawana hela ukiingiza watu wengi????????????
sabuni na kugawana hela kama utaingiza new members wapya wengi huelewi?

Bora umerudi huku upate kichuri na kirunguri brain irudi mahali pake
 
wana bidhaa za afya, ngozi, usafi, kupunguza mafuta mwlini na bidhaa za mimea.
 
Nashukuruni wote angalau nimepata idea maana nimeona gazeti moja la kenya likionesha members walivyo tajirika na GNLD Mpaka wanamiliki ndege si utani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom