David Mgeni
Senior Member
- Aug 4, 2020
- 103
- 137
Wakuu habari za muda huu.
Napenda kuuliza kwa waliowahi kusafiri kutoka Tanga mpaka Iringa, nauli yake kwa basi ni bei gani?
Najua kuna aina tofauti za mabasi ila wastani nauli yake bei gani?
Napenda kuuliza kwa waliowahi kusafiri kutoka Tanga mpaka Iringa, nauli yake kwa basi ni bei gani?
Najua kuna aina tofauti za mabasi ila wastani nauli yake bei gani?