Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Masibota! 😂Wagambakii!!!
Lugha za kugelezea majirani wanavyozungumza!
Masibota! 😂Wagambakii!!!
Sasa taya lipoje!? Kama fizi imetepeta!?Bora kwa mbaaaaaaliiiii SUMATRA walikuwa na mapengo LATRA ni vibogoyo waliotepeta fizi
View attachment 2195141
Whatever but msitoe false credit wakati hazina uhalisi.All in all Raisi Hana control yoyote kwenye duala la mfumuko wa bei especially kwenye suala la kupanda bei ya mafuta narudia Tena hili ni suala ni global Kila nchi imeguswa
Atuongezee na kamshahara sasa walau tuendane na kupanda kwa garama za kuishi hasa huku sekta binafsi ndio watanzania
wengi wapo huko ambako wanalipwa 120
Kanda ya ziwaBukoba ni kusini?
Na mafuta Kenya kayapandisha Samia?Namshukuru raisi mtukufu Samia Suluhu kwa kupanda bei za nauli.
safi sana.
Peleka maviii huko pumbavuuuNa mafuta Kenya kayapandisha Samia?
Wendawazimu wenu hatuutaki
Dunia ipi?tupe majibu ya hii document hapaHili ni tatizo la Dunia nzima hizi nyuzi za mfumuko wa bei mzichukue mkafumie nguo
HaijulikaniSasa taya lipoje!? Kama fizi imetepeta!?
Kanda ya ziwa ipo kusini kumbe?Kanda ya ziwa
Nipe na kikotoo Cha enzi za late. Magufuli how it wasDunia ipi?tupe majibu ya hii document hapaView attachment 2195328
Hicho ni kikokotoo tangu Magufuli mpaka sasa,kilichongezeka ni huyu Hangaya kuongeza maumivu ya 100 zaidi halafu anasingizia vitaNipe na kikotoo Cha enzi za late. Magufuli how it was
Hili tangazo lako kafungue mandazi sisi tunasubiria list ya LATRA