sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Kwanza niseme tu hewa imekuwa nyepesi mno baada ya kusikia manara kaondoka.
Mechi ya juzi kiukweli Yanga tulistahili kushindwa, Mukoko kitu alichofanya sio cha kiungwana kabisa na matokeo yake akaipa timu mzigo mkubwa wa kucheza pungufu, Ila bado niliona vijana walijitahidi licha ya kucheza pungufu.
Mechi ya juzi laiti Yanga ingeshinda basi uwezekano wa Manara kubaki ngekuwa mkubwa ila simba iliposhinda wakajipa matumaini na kuona wanaweza bila hata Manara, kwa hio hana umuhimu kivile.
Kiufupi nilikuwa naombea tu simba ishinde bao moja tu japo ntaumia kwa siku chache ila faida kwa upande wa Yanga itaonekana msimu ujao pale ambapo Manara hayupo na yanga kama mnavyojua saizi changamoto iliyokuwa ikitusumbua ya ukosefu wa pesa itatatuliwa na zile milioni 260 kutoka azam ila mwezi kujumlisha na zile milioni 50 za kila timu kwahio tutarudi kwenye form
Tunamshukuru pia GSM ambae katutoa kimaso maso miaka miwili hii ili timu isiabike kwa umaskini.
Huyu kiumbe Manara alikuwa ni mwiba sana kiukweli, kebehi zake, zarau zake, maudhi yake, kukera, n.k yani mimi kama shabiki ywa Yanga nilikuwa natamani hata aajiriwe tu kuwa balozi huko kwa bakhresa alipwe mamilioni aachane na haya mambo yake.
Kubwa kuzidi lote Manara alikuwa anawafanya mashabiki wa simba kuwa kama wehu yani, kuna misemo yake kama hatoki mtu, war in dar, next levo, n.k ilikuwa inawapa sana munkari mashabiki wa simba, hakuishia hapo alipenya hadi kwenye kusifia wachezaji na wakaonekana kama ni kina messi au ronaldo, kiukweli alikuwa ni silaha hatari mno.
Aliewahi kumweza ni Jerry Muro tu enzi za Mnaji, lakini hata Jerry Muro angebaki Yanga angeshindwa maana Manji aliiacha team ikawa na matatizo ya kiuchumi.
Laiti hata wanasimba wangekuja na ofa kwamba tuwaachie Makombe yote ligi kuu, FA na Mapinduzi basi kiroho safi kabisa tungewaachia kwa kkubaliana mtufunge hata bao mbili kila mechi tukikutana.
Mechi ya juzi kiukweli Yanga tulistahili kushindwa, Mukoko kitu alichofanya sio cha kiungwana kabisa na matokeo yake akaipa timu mzigo mkubwa wa kucheza pungufu, Ila bado niliona vijana walijitahidi licha ya kucheza pungufu.
Mechi ya juzi laiti Yanga ingeshinda basi uwezekano wa Manara kubaki ngekuwa mkubwa ila simba iliposhinda wakajipa matumaini na kuona wanaweza bila hata Manara, kwa hio hana umuhimu kivile.
Kiufupi nilikuwa naombea tu simba ishinde bao moja tu japo ntaumia kwa siku chache ila faida kwa upande wa Yanga itaonekana msimu ujao pale ambapo Manara hayupo na yanga kama mnavyojua saizi changamoto iliyokuwa ikitusumbua ya ukosefu wa pesa itatatuliwa na zile milioni 260 kutoka azam ila mwezi kujumlisha na zile milioni 50 za kila timu kwahio tutarudi kwenye form
Tunamshukuru pia GSM ambae katutoa kimaso maso miaka miwili hii ili timu isiabike kwa umaskini.
Huyu kiumbe Manara alikuwa ni mwiba sana kiukweli, kebehi zake, zarau zake, maudhi yake, kukera, n.k yani mimi kama shabiki ywa Yanga nilikuwa natamani hata aajiriwe tu kuwa balozi huko kwa bakhresa alipwe mamilioni aachane na haya mambo yake.
Kubwa kuzidi lote Manara alikuwa anawafanya mashabiki wa simba kuwa kama wehu yani, kuna misemo yake kama hatoki mtu, war in dar, next levo, n.k ilikuwa inawapa sana munkari mashabiki wa simba, hakuishia hapo alipenya hadi kwenye kusifia wachezaji na wakaonekana kama ni kina messi au ronaldo, kiukweli alikuwa ni silaha hatari mno.
Aliewahi kumweza ni Jerry Muro tu enzi za Mnaji, lakini hata Jerry Muro angebaki Yanga angeshindwa maana Manji aliiacha team ikawa na matatizo ya kiuchumi.
Laiti hata wanasimba wangekuja na ofa kwamba tuwaachie Makombe yote ligi kuu, FA na Mapinduzi basi kiroho safi kabisa tungewaachia kwa kkubaliana mtufunge hata bao mbili kila mechi tukikutana.