Natural Viagra inaniadhirisha

Natural Viagra inaniadhirisha

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
323
Reaction score
1,625
Wakuu.
Kuna demu nampenda sana. So huku na huku kwa mara ya kwanza akanipromise leo. Maana kuanzia kesho anasepa kwenda chuo.. So leo ntakula kwa mara kwanza. Sasa sitaki kuwaangusha nkasema ngoja nijiweke fresh kwa ajili ya game.

Jana alivoconfirm kuwa leo tunaonana basi nkapitia nyuzi kadhaa za humu, nkajua kumbe kuna viagra za asili kutoka kwenye misosi. Kila mtu akawa anatoa list ya vyakula tofauti tofauti.

Wengine wanasema bamia za kutosha, wengine chai ya tangawizi na mchai chai, wengine vitunguu swaumu, nk.

Nkaona wananichanganya nkaamua kuchanganya kila kitu walichosema. So jana jion nkaenda sokon. Nkanunua bamia, tangawizi, mdarasin, asali, swaumu, tende na habit soda. Ile jion jana nkaadaa mazaga nkachemsha kwa pamoja then nikala.

Weee kuanzia saa tisa usiku nkastuka tumbo linaumaa kichizi.. Nikawa nahara kutoka muda huo mpaka sasa mida ya appointment imekaribia nahara kinoma... Nna wasi wasi nilikamia game then naenda kuaibika kule...


Updates.
Kuna jamaa akanambie nenda pharmacy wakupe dawa ya kuzuia kuhara. Nikaenda pharmacy nkapewa dawa fulan. Uzuri muuzaji nilimkuta nshkaji mmoja namshukuru sana. Then akanishauri niikinywa hizo dawa zitakata kihara ila hakikisha unakula vizur vizuri niende kwenye appointment. Akanishauri kishkaji vitu vya kula. Since sijala since morning nkanywe uji au ninywe chai na korosho. Me nkala korosho na chai yenye tangawizi na mdarisin. Then tumbo likikaa vzuri nitafute chakula cha uhakika. Me nkapata supu ya samaki mkubwa nkala na chapati. Then nkaenda venue kumsubiri mpenzi. Mpenzi alikuja na tulienjoy fresh kama hakuna kilichotokea. Nikapiga zangu goli mbili saafi. From saa kumi jion tukaachana saa moja tukiwa happy..
 
Kuna uhalisia mmoja tu, ni aidha una nguvu za kiume ama huna. Hakuna chochote katikati ya hapo.

Jaribu kujikubali kwa uwezo uliojaaliwa. Sasa ona kwa tamaa za kutaka kumkomoa mtoto wa watu umeishia kuharisha. Ungeenda kwa nguvu ulizojaaliwa ungeambulia hata dk 2 zako mbili.
 
HIi kitu kaiskie kwa jirani. Kuna kipindi ndo tumeanza anza safari na mama chanja, tukaamua tukutane mkoa mmoja kanda ya kati kwa ajili ya picnic ya siku 3 alaf kila mtu arudi kwenye mitkasi yake.
Nmetoka eneo la kaz vzur, nmepanda basi, nkiwa njiani njaa ikauma nkanunua crisps/crips ka pakti ka jero tu nipoze tumbo.
Wallahi zile viazi yule mshenz sijui aliweka nin, nmefika eneo la tukio, naskia mfurugano tumboni, aisee nlikimbiza mwenge usiku kucha. Badala ya kupiga miti nkageuka mgonjwa napewa oral na dawa kibao. Mama chanja anacheka mpka jino la sikukuu linaonekana. Ikabd awe nesi wa zamu. Kesho yake nkapata nafuu nkaanza kupiga jembe.
Hadi leo hua anankumbushia.
 
Wakuu.
Kuna demu nampenda sana. So huku na huku kwa mara ya kwanza akanipromise leo. Maana kuanzia kesho anasepa kwenda chuo.. So leo ntakula kwa mara kwanza. Sasa sitaki kuwaangusha nkasema ngoja nijiweke fresh kwa ajili ya game.

Jana alivoconfirm kuwa leo tunaonana basi nkapitia nyuzi kadhaa za humu, nkajua kumbe kuna viagra za asili kutoka kwenye misosi. Kila mtu akawa anatoa list ya vyakula tofauti tofauti.

Wengine wanasema bamia za kutosha, wengine chai ya tangawizi na mchai chai, wengine vitunguu swaumu, nk.

Nkaona wananichanganya nkaamua kuchanganya kila kitu walichosema. So jana jion nkaenda sokon. Nkanunua bamia, tangawizi, mdarasin, asali, swaumu, tende na habit soda. Ile jion jana nkaadaa mazaga nkachemsha kwa pamoja then nikala.

Weee kuanzia saa tisa usiku nkastuka tumbo linaumaa kichizi.. Nikawa nahara kutoka muda huo mpaka sasa mida ya appointment imekaribia nahara kinoma... Nna wasi wasi nilikamia game then naenda kuaibika kule...
Kuwa makini Kuna vyakula ukichanganya ni sumu utakuja kufa siku Moja,kwa mfano maziwa na samaki,au karanga mbichi na mihogo mibichi nk
 
Kaharishane naye huko huko dadeki, yaani uache tunda lipite kimasikhara kisa unaharisha....utakua una mapungufu kweli, vijana wa siku hizi mumekua hovyo sana, mnatia aibu.
Enzi nikiwa kijana yaani hata kama naumwa malaria ila nipate fursa ya kula tunda nitaliparamia tu, baadaye ndio nitakumbuka nilikua naumwa.
 
Back
Top Bottom