jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,331
- 36,516
Amekutapeli nini??kwanini hammpeleki mahakamani kama ni tapeli??Acha kukufuru, unamlinganisha tapeli Mwamposa na yesu.Mwamposa atapata heshima akijikita kwenye kuhubiri, lakini figisu za kutayarisha watu wazima na kuwapa magongo ili watoe ushuhuda wa uongo ajue ni dhambi. HANA TOFAUTI NA MATAPELI YA KALYNDA. Anajishushia heshima.
#MaendeleoHayanaChama