nakupa hongera ya kutafuta ukimwi kwa kupenda...ni wachache wenye moyo huo kwa dunia yetu ya sasa
hongela mwana,ila ukifanyiwa ww utajickiaje?
kaka ni habari ndefu nimeifupisha sana labda ndo maana unaona ni cheating story so nicheat kwa faida ya nani haitanisadia kitu broAbsolutely nothing acha kutudanganya honeythi wewe.
mmmhhh wanaume bana, kwa nini hukumwambia aliekuwa wa mwisho kuwa tayari nina mahusiano na mama yako au mwanao? nawe pia ulipenda hali hiyo.
Ameshasema mama alikuwa mkali sana, na binti alikuwa na nyodo na dharau za hapa na pale. Kwa hiyo ni vema tu alivyowatafuna wote !
sasa anatubu nini ili khali alitambua toka mwanzo kuwa anachofanya si sahihi?
Hadith hii kakufundisha nani?
nimefupisha sana story na baadhi location hata majina kukwepa boss kugundua nilete story ya kubuni insaidie nini ndugu yangu pia elewa sikua mlinzi in such boss alinichukua kama kumsaidia tu sasa wewe unapatapa picha et njelee na koti kubwa ur wrongUko sahihi. Hii ni hadidhi!
Kwanza uandishi wenyewe hauwezi kuwa wa walinzi wetu tunaowajua uelewa wao!