Mkuu
1.nunua machine yako
2. Usitumie wembe
3. Tumia After shave kama huna chemsha maji ya moto na kitambaa jikande baada ya kunyoa
4. Tumia dawa/spirit (not much recommended.
5. Kama hunyoi styles/fashion
Tumimia ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»