BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,127
- 734
Heloo members,
Naomba msaada natoka na vipele nikinyoa ndevu, nitumie dawa gani?
Naomba msaada natoka na vipele nikinyoa ndevu, nitumie dawa gani?
Mi mwenyewe vinanitoka nimeamua navyonyoa ndevu sitoi zoteHeloo members,naomba msaada natoka na vipele nikinyoa ndevu,nitumie dawa gani??View attachment 2322565
Ndioo dokta ndiiioooo!!Foliculitis inaitwa mimi nashaurigi wateja wangu kwanza ni machine zinazotumiwa (tumia personal) pili usafi so hapa ni kutumia after shave tatu ni material ya kunyolea I discourage use ya wembe sabab hivo vipele ni inflammation ya hair follicle
Twende kule mwenyekiti sjakuona kitamboNdioo dokta ndiiioooo!!
Santo sana
Kule nimepumzika kwanza mjumbe naona wanachama wamechukua likizo nami sina budi kuchukua likizo mjumbe wangu ila tupo pamoja lazima nipite kuwasalimia kwa sana tu!Twende kule mwenyekiti sjakuona kitambo
ushauri mzuri huuMkuu
1.nunua machine yako
2. Usitumie wembe
3. Tumia After shave kama huna chemsha maji ya moto na kitambaa jikande baada ya kunyoa
4. Tumia dawa/spirit (not much recommended.
5. Kama hunyoi styles/fashion
Tumimia 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Heloo members,
Naomba msaada natoka na vipele nikinyoa ndevu, nitumie dawa gani?