Habari yenu wana jamii forums , Mie ni miongoni mwa watu ambao ni wenyeji wa mkoa wa Mwanza na ni mda mrefu kwa kweli sijaenda nyumbani. hivyo nime amua kutengeneza special group kwenye facebook ambayo inaitwa NATOKA MWANZA (ROCK CITY) kwa ajili ya watu wanao tokea mwanza ili tuweze kupashana habari mbali mbali. kujiunga na hii group kwanza kabisa nenda www.facebook.com kisha jiunge.pale juu kabisa kwenye sehemu iliyoandkwa search andika NATOKA MWANZA (ROCK CITY) halafu itatokea hiyo group kisha juu sehemu ya kulia utaona sehemu imeandikwa Ask to join. Nawakaribisha wote. na pia ninge penda iwe changa moto kwa watu wa mikoa mingine yote.