"Natoa"

"Natoa"

Salimia

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
665
Reaction score
104
Ndiyo ni kweli natoa!!
Natoa avatar yangu kuanzia kesho maana naona vijino pembe wamezidi kuniandama na kunitumia pm nyingi sana. Pia naona akina Speaker, Okada, Asprini na wengine wananisakama kwamba nitoe vile haiendani na maadili. Kwa hiyo jamani mnivumilie kidogo, Kesho nitatoa.
Nawasilisha
 
He nilikuwa sijakuona....
Swali la kwanza
hiyo ni avatar au wewe mwenyewe????????

La pili hii biashara umeikatia kibali?????
 
Ndiyo ni kweli natoa!!
Natoa avatar yangu kuanzia kesho maana naona vijino pembe wamezidi kuniandama na kunitumia pm nyingi sana. Pia naona akina Speaker, Okada, Asprini na wengine wananisakama kwamba nitoe vile haiendani na maadili. Kwa hiyo jamani mnivumilie kidogo, Kesho nitatoa.
Nawasilisha
vuta juu hiyo nguo yako....ndo majaliwa yako hyo mama!
 
hivi huyo ni mnene au ana makalio manene au ana makalio makubwa?
Hivi hayo hayawezi kusababbisha kisukari na mapresha presha hivi??!!!

ha haa haa
kuna movie ya ice cube ya berbershop

alisema tofauti ya big ass na ass that is big....

Hii ni ass that is big lol
 
Vipi yakhe!! Usitoe hilo jambo, tu!. Lakini avatar wacha ibakie tunaifurahiya tu.
 
He nilikuwa sijakuona.... Swali la kwanza hiyo ni avatar au wewe mwenyewe???????? La pili hii biashara umeikatia kibali?????
Kaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti Allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
 
Kaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti Allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
mhhhhh!!jibu lako tu mtoto wa kike
 
Back
Top Bottom