Natoa somo hapa kuhusu misumari ya bati

Natoa somo hapa kuhusu misumari ya bati

1743313630860.jpg
 
Yaaani ukitumia misumali yenye tredi kwenye bati yamigongo mipana bati haivuji
 
Hakuna nondo ambazo umeshusha hapa, toa sababu, kwanini migongo mipana ivuje ukitumia misumari ya kawaida?.
 
Hivi hamna jina la kitaamu la hizi bati
Zinaitwa IT5 au IT4 inategemea na bati lina valleys ngapi, hiyo 4 na 5 inawakilisha idadi ya valley (valley ni sehemu ya bati ambayo maji ya mvua yanapita)

Mfano kwenye picha ya comment #11 ni IT5
 
Back
Top Bottom