mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,729
Je, ni wangapi humu wagependa somo la ujasiriamali?
Najiandaa kuandaa somo hilo, humu jamvini, hasa kwa wamiliki wa biashara ndogondogo na wajasiriamali.
Somo litahusu taratibu mbalimbali muhimu zinazohitajika kuandaa na kusimamia biashara ndogo.
Natayarisha pia, mwongozo utakaoelezea hatua sahihi za kutengeneza mpango kazi wa kujenga na kuimarisha biashara, ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi ya masoko ya mtandao na kuandaa mikakati ya usimamizi bora.
Nasubiri mahitaji kutoka kwenu wanaJF.
Najiandaa kuandaa somo hilo, humu jamvini, hasa kwa wamiliki wa biashara ndogondogo na wajasiriamali.
Somo litahusu taratibu mbalimbali muhimu zinazohitajika kuandaa na kusimamia biashara ndogo.
Natayarisha pia, mwongozo utakaoelezea hatua sahihi za kutengeneza mpango kazi wa kujenga na kuimarisha biashara, ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi ya masoko ya mtandao na kuandaa mikakati ya usimamizi bora.
Nasubiri mahitaji kutoka kwenu wanaJF.