Jonii Mtoaroho
Member
- Feb 15, 2012
- 12
- 0
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other
kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?
waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili
-lets wait and see the world
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other
kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?
waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili
-lets wait and see the world
Katika uwekaji wa kumbukumbu has matumizi ya IT, hapa nazungumzia "Database Management System" /"Database Systems", majina hayatumiki kama kitambuzi (identifier). Kwenye database kila ingizo linakuwa na namba ya pekee (Unique identifer) ambayo hujulikana kwa lugha ya kitaalamu kama "Primary Key". Primary key ni namba ambayo itamtambulisha mtu kwenye system. Kwa hiyo hata kama wapo John Massanja ishirini, kila ingizo litakuwa na namba yake tofauti. Ndiyo kusema kwamba Kila ID itakuwa na namba yake. Vilevile Database inaweza kutunza taarifa zingine kama vile "finger prints" au "Biometrics ID" kwa hiyo ni rahisi kutambulika.
Sasa ikiwa majina yanafanana na unataka kuhakiki kama mtu katumia cheti cha shule cha mtu mwingine hapo ni lazima kila mtu alete "original certificate" ya vyeti vyake vya shule/au cheti cha kuzaliwa. Ikiwa vinafanana kwa namba ya cheti, majina, umri na shule walizosoma, then hapo ndo utajua kuwa kuna mushkeli. Vinginevyo hata huko mashuleni aau vyuoni, kuna watu wana majina yanafanana. Kinachowatofautisha ni Registration number.
Katika uwekaji wa kumbukumbu has matumizi ya IT, hapa nazungumzia "Database Management System" /"Database Systems", majina hayatumiki kama kitambuzi (identifier). Kwenye database kila ingizo linakuwa na namba ya pekee (Unique identifer) ambayo hujulikana kwa lugha ya kitaalamu kama "Primary Key". Primary key ni namba ambayo itamtambulisha mtu kwenye system. Kwa hiyo hata kama wapo John Massanja ishirini, kila ingizo litakuwa na namba yake tofauti. Ndiyo kusema kwamba Kila ID itakuwa na namba yake. Vilevile Database inaweza kutunza taarifa zingine kama vile "finger prints" au "Biometrics ID" kwa hiyo ni rahisi kutambulika.
Sasa ikiwa majina yanafanana na unataka kuhakiki kama mtu katumia cheti cha shule cha mtu mwingine hapo ni lazima kila mtu alete "original certificate" ya vyeti vyake vya shule/au cheti cha kuzaliwa. Ikiwa vinafanana kwa namba ya cheti, majina, umri na shule walizosoma, then hapo ndo utajua kuwa kuna mushkeli. Vinginevyo hata huko mashuleni aau vyuoni, kuna watu wana majina yanafanana. Kinachowatofautisha ni Registration number.
its a point of criticism, BUT
u still need to digest hard the mechanism (watakazotumia) of fetch out duplicates, identicals, forgery and other
kwani Bongo ikitokea majina matatu yamefanana, na nyote mna valid ID's, nini kitatumika kutofautisha ?
waarabu wana majina ya ukoo, westerners wanatumia nicknames or so kuziba pengo hili
-lets wait and see the world