Elections 2010 National Elimination Committee (NEC)

everybody

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
337
103
Jamani mi naona hii NEC inakazi ya Ku-eliminate badala ya kusimamia election. Basi wajiweke wazi kuwa wao ni Elimination committee na kazi yao kuu ni ku-eliminate wale wanaofaa kutokana na matakwa ya wananchi na kuwaingiza wale wanao wafikiria ndo wanafaaa kutokana na matakwa ya waliowaweka madarakani.

Inasikitisha sana.......


aaaaahhhhh
 
Back
Top Bottom