Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,923
- 122,190
Ulipiga intaviu? ulipita?Aya ndugu yangu sawa
Tupe mrejesho, wanazengo tuna shauku ya kujua ili kupata ABC za huko
Ulipiga intaviu? ulipita?Aya ndugu yangu sawa
Since May 2021 hajaingia onlineUlipiga intaviu? ulipita?
Tupe mrejesho, wanazengo tuna shauku ya kujua ili kupata ABC za huko
Watakuwa bado wanachakata, application yangu bado haina status yeyoteHawa NAOT walitoa nafas Za afya pia,wamepga chini zote au ndo wao wameitwa kimya kimya??
Watakuwa bado wanachakata, application yangu bado haina status yeyote
Watakuwa bado wanachakata, application yangu bado haina status yeyote
Mbona mnachanganya mafaili. Muwe mnaangalia Uzi ni wa lini jamani!Ah me mwenyew pia ndo mana nikashangaa,ngoja tuwasikilizie
Wazo zuri, umesaidia ku-make sense hapaMbona mnachanganya mafaili. Muwe mnaangalia Uzi ni wa lini jamani!
Uzi ni wa mwaka juzi ila kuna mdau aliuliza kuhusu nafasi za juzi, ndio maana unaona tunasema vileMbona mnachanganya mafaili. Muwe mnaangalia Uzi ni wa lini jamani!
Anhaaa , maana Mimi kwenye status iko vile vile hamna notification yoyote kwamba ningekuwa shortlisted au noUzi ni wa mwaka juzi ila kuna mdau aliuliza kuhusu nafasi za juzi, ndio maana unaona tunasema vile
Well spokensasa ndo kwanza umeitwa usaili unaanza kuulizia mambo ya mshahara na safari. kuwa na subira, kama mwenyezi Mungu akikujalia ukapata nafasi usiingie kazini ukiwa na mentality ya namna hio. mentality ya pupa. kuwa mtulivu na utafahamu kila jambo kwa wakati na fursa zitakuja with time.
Huenda alikandwa akawa busy na mishe zakeSince May 2021 hajaingia online
Mkeka wake utakuwa huu uliotoka janaHawa NAOT walitoa nafas Za afya pia,wamepga chini zote au ndo wao wameitwa kimya kimya??