National Auditing Office of Tanzania (NAOT) kuita watu kwenye usaili

sasa ndo kwanza umeitwa usaili unaanza kuulizia mambo ya mshahara na safari. kuwa na subira, kama mwenyezi Mungu akikujalia ukapata nafasi usiingie kazini ukiwa na mentality ya namna hio. mentality ya pupa. kuwa mtulivu na utafahamu kila jambo kwa wakati na fursa zitakuja with time.
Well spoken
 
Back
Top Bottom