Jamani National auditing office of Tanzania(NAOT) wanaotakiwa kufanya usaili majina yametoka, haya hapa chini.
https://www.ajira.go.tz/baseattachments/interviewattachments/200607090713TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAOT.pdf
Naomba kujua jamani mwenye taarifa kamili kuhusu NAOT, Najua hawa NAOT wanalipa na tgs E ambayo around 900,000 net, vipi ndugu zangu hizi Auditing kuna safari za aina yoyote, na mimi niko kwenye majina ya usaili jamani naomba kujua wazalendo wenzangu, na je kama safari zipo zinalipwa au ndo kunakusafri kizalendo tu, Msaada katika hilo mi ni mtu wa database Audit.
Kiukwel naomba tu niwe wazi wakuu, nafanya kazi na private company nilikuwa nawaza kutoka ikiwezekana niingie selikalini ndio maana kabla ya kuchukua maamuzi nilitamani nipate taarifa kamili kwa wadau wenye uelewa zaidi na NAOT na hizo auditing na mshahara wangu ni 900000 vile vile, nimefanya hiv ili nisiende nikiwa kama nabet maisha.
https://www.ajira.go.tz/baseattachments/interviewattachments/200607090713TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAOT.pdf
Naomba kujua jamani mwenye taarifa kamili kuhusu NAOT, Najua hawa NAOT wanalipa na tgs E ambayo around 900,000 net, vipi ndugu zangu hizi Auditing kuna safari za aina yoyote, na mimi niko kwenye majina ya usaili jamani naomba kujua wazalendo wenzangu, na je kama safari zipo zinalipwa au ndo kunakusafri kizalendo tu, Msaada katika hilo mi ni mtu wa database Audit.
Kiukwel naomba tu niwe wazi wakuu, nafanya kazi na private company nilikuwa nawaza kutoka ikiwezekana niingie selikalini ndio maana kabla ya kuchukua maamuzi nilitamani nipate taarifa kamili kwa wadau wenye uelewa zaidi na NAOT na hizo auditing na mshahara wangu ni 900000 vile vile, nimefanya hiv ili nisiende nikiwa kama nabet maisha.