Natimiza miaka 23 leo ifikapo tar 1.

Natimiza miaka 23 leo ifikapo tar 1.

Cruel mpole

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
106
Nashukuru Mungu kuzaliwa tarehe hii na mwezi kama huu,najiona ni mtu mwenye bahati sana,namshukuru mama yangu mzazi kwakuvumilia nakunitunza kwa miezi 9 tumboni mwake nakunileta ulimwengu huu mnamo tarehe 1.1.1991.vilevile namshukuru baba yangu mzazi kwa kutambua umuhimu wa malezi kwa mtoto na kutambua umuhimu wa elimu.Kanisomesha kwa hali na mali na kuvumilia usumbufu wa hapa na pale uliojitokeza,mpaka sasa nina kazi yangu,ninaishi vizuri na nina afya njema.Vilevile nawashukuru wana jf kwa kunipa kampani ya hapa na pale,hasa pale ninapotoa thread kuhusu jambo flani linalohitaji ushauri,hamkusita kunishauri.Mungu awabariki sana,na awajalie heri na fanaka kwa mwaka mpya 2014.AMEN.
 
Hongera sana mdogo wangu... Mwenyezi Mungu awe nawe unapoanza mwaka mpya!!!
 
Huo usumbufu baba aliovumilia ni upi??? au ni zile psiiiiiiiii za hapa na pale.....samahan lakini..
 
nashukuru sana mkuu.

Hongera sana kaka mungu akujaalie maisha marefu zaidi yaliyo jaa kheir na baraka.....

Nimependa hapo uliposhukuru kuhusu mama na baba hakika wao ndio mafanikio yako..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hongera sana kaka mungu akujaalie maisha marefu zaidi yaliyo jaa kheir na baraka.....

Nimependa hapo uliposhukuru kuhusu mama na baba hakika wao ndio mafanikio yako..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Baba na Mama ndio kila kitu ktk ulimwengu huu,wamesimama badala ya Mwenyezi Mungu.
 
Nashukuru Mungu kuzaliwa tarehe hii na mwezi kama huu,najiona ni mtu mwenye bahati sana,namshukuru mama yangu mzazi kwakuvumilia nakunitunza kwa miezi 9 tumboni mwake nakunileta ulimwengu huu mnamo tarehe 1.1.1991.vilevile namshukuru baba yangu mzazi kwa kutambua umuhimu wa malezi kwa mtoto na kutambua umuhimu wa elimu.Kanisomesha kwa hali na mali na kuvumilia usumbufu wa hapa na pale uliojitokeza,mpaka sasa nina kazi yangu,ninaishi vizuri na nina afya njema.Vilevile nawashukuru wana jf kwa kunipa kampani ya hapa na pale,hasa pale ninapotoa thread kuhusu jambo flani linalohitaji ushauri,hamkusita kunishauri.Mungu awabariki sana,na awajalie heri na fanaka kwa mwaka mpya 2014.AMEN.

Jinsia yako tafadhari
 
Leo ni tar 1? Jaman mbona mnaharakisha mambo ungesema kesho
 
Nashukuru Mungu kuzaliwa tarehe hii na mwezi kama huu,najiona ni mtu mwenye bahati sana,namshukuru mama yangu mzazi kwakuvumilia nakunitunza kwa miezi 9 tumboni mwake nakunileta ulimwengu huu mnamo tarehe 1.1.1991.vilevile namshukuru baba yangu mzazi kwa kutambua umuhimu wa malezi kwa mtoto na kutambua umuhimu wa elimu.Kanisomesha kwa hali na mali na kuvumilia usumbufu wa hapa na pale uliojitokeza,mpaka sasa nina kazi yangu,ninaishi vizuri na nina afya njema.Vilevile nawashukuru wana jf kwa kunipa kampani ya hapa na pale,hasa pale ninapotoa thread kuhusu jambo flani linalohitaji ushauri,hamkusita kunishauri.Mungu awabariki sana,na awajalie heri na fanaka kwa mwaka mpya 2014.AMEN.
Kumbe nakuzidi siku moja mimi ilikuwa tarehe 31.12.1990. Karibu Njinjo
 
Kijana hongera kwa kuzaliwa siku ya mwaka mpya!

Wazazi wamefanikiwa kuua ndege wawili kwa jiwe moja!!!

Hapa nadhani tutakuwa tunaimba nyimbo mbili... Kwa pamoja!

Happy birthday to you + happy new year to us!

Teh! teh! Long live man!
 
Kw hzo description,Mhhh we mwanaume mbona km nakujua hv...is ur name emmanuel????!...surname ntamalizia badae
 
Back
Top Bottom