euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,741
- 4,082
kitambo nilikuwa nafahamu wanaofika chuo wote wanajua kingereza lakini kumbe syo mpakA watu waliokuwa makazini hii lughA inawapA shdA sasa usaili sijui walifanyaje pia huku jamiiforum kila mtu analalamika kutema yai ni tatzo .pia hao hao watu wanadigrii zao sjui tatzo libatokea wapi wadau.