Usiombe yakukute ndugustori yako hakueleweka umebaki kulalamika sana pili jini hafungi riziki ya mtu riziki hutoa mungu hakuna kiumbe wa kuizuia
Hakika uponyaji upo kwa Yesu tu,pepo hatoi pepo!nakushauri uokoke,yote hayo yatakuwa historiaNjoo kwa Yesu akuokoe. Utafunikwa kwa damu ya Yesu kiboko cha shetani na vinyamkera vyake vyote. Karibu sana ndugu kwenye ufalme wa Mungu.
JESUS IS SAVIOR.
HII NDIO TIBA SAHIHI, 90% Ya wadau humu wana imani hizo za ajabu, na ni sababu ya mazingira ya jamii yetu, upungufu wa uwelewa ikiwemo elimu, maisha duniNaliona tatzo la ugonjwa wa akil hapa
Nenda muhimbil kuna kitengo maalu. Watakusaidia
huyo mwenye hiyo namba Tapeli tupiga 07445052260 mwambie shida yako, leta mrejesho baadae
Nimeandika na kufuta mara kadhaa.Kwanin unaimani za hovyo namna hio mkuu...
Mimi naishi nikiamin..
No shetan
No majin
Nikifeli lazima nijue tatizo na Mara nyingi inakuwa kutokuwa makini..
Kukataliwa na watu I don't care kwan huwez pendwa na kila MTU hapa duniani ..
Acha kuwa na mawazo ya kigiza giza
Kanisa sio wokovu imani yako kwa Mungu jeMakanisa yote nimemaliza.
I've gave up already.
Huwezi changanya nuru na giza ukategemea matokeo chanya. Sikuhukumu mkuu, najua matatizo hupelekea mtu kutafuta suluhu kwa njia yoyote ile inayowezekana. Mambo ya waganga na imani ya kikistro ni vitu viwili tofauti.Nimezunguka katika madhabahu za kiganga tofauti na jibu ni hilo hilo, ata kanisani nikiombewa mtumishi akitaja neno mahaba jini katika maombi mwili lazma utetemeke kama hali ya kupatwa na ubaridi
Majini au🤣🤣🤣Ngoja waje
Wazee wa fursa.umezidisha namba
Mzee kiimani tunasema Mungu ndie mpaji wa riziki na kila kitu ila tukija field nikuhakikishie sio jini tu hata binadamu mwenzako anaweza zuia usitoboe kwenye haya maisha...na achilia mbali kupata ugali wakula ila binadamu anaweza katisha hata maisha yako hapa dunianistori yako hakueleweka umebaki kulalamika sana pili jini hafungi riziki ya mtu riziki hutoa mungu hakuna kiumbe wa kuizuia