Nateswa na tabia hii ya kutamani

Nateswa na tabia hii ya kutamani

basi tatizo lako liko hapo kama uko above 20 mtafute msichana unaempenda kiasi kwamba ukimuona tu unamaliza

lasivyo angalia usipige miaka 30 kwa lile kosa

tafuta mtu wa vitu ambavyo vinakutamanishana kama kusini au kama ni kaskazn ndo kuna kuvutia mtafute huyo awe mmoja
EPUKA UKIMWI!(polepole kwa sauti ya kibonde)

Asante
 
Wenzie tunatamani maghorofa na maestate yeye anatamani sketi! Makalio si anayo ya kwake ajitamani?

mjini kunachosha!
kuna vingi tunatamani lakini si kila tamanio lazma litekelezwe. vizuri kama waweza kujicontrol.
 
Wenzie tunatamani maghorofa na maestate yeye anatamani sketi! Makalio si anayo ya kwake ajitamani?

mjini kunachosha!

shangaa mkwe!! ana matamanio ya ajabu huyo. mie natamani mayuro na mapound tu hapa.
 
Usihofu sana..naamini utapata suluhisho
..
 
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin

Imeandikwa; Kwakuwa kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe,na tamaa ikikukomaa huzaa dhambi na dhambi ikikomaa huzaa mauti
 
Last edited by a moderator:
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin

Mi mwenyewe huwa nakutamani wallah utaniua we mtoto....
 
Idle mind is the house of evil...kuwa busy na productive works, acha kukaa bure fanya kazi upunguze protein hizo zinazo usumbua.
 
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin
DAgMcx4W0AEl75y.jpg
 
piga puli mkuu maana unaonekana zege, fuata alichokwambia Albo, 'mkono na dettol' zilipendwa
 
Usiseme tabia ya kutamani sema dhambi ya kutamani........nenda kaombewe hilo ni PEPO.
Ww sio wa kwanza kutamani mm nlikuwa natamani mpaka mate yananidondoka lkn baadae ya kuonana na BWANA YESU mambo ni tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom