basi tatizo lako liko hapo kama uko above 20 mtafute msichana unaempenda kiasi kwamba ukimuona tu unamaliza
lasivyo angalia usipige miaka 30 kwa lile kosa
tafuta mtu wa vitu ambavyo vinakutamanishana kama kusini au kama ni kaskazn ndo kuna kuvutia mtafute huyo awe mmoja
EPUKA UKIMWI!(polepole kwa sauti ya kibonde)
Kweli Eh,me Huwa Najistukiaga Tu
kuna vingi tunatamani lakini si kila tamanio lazma litekelezwe. vizuri kama waweza kujicontrol.
Wenzie tunatamani maghorofa na maestate yeye anatamani sketi! Makalio si anayo ya kwake ajitamani?
mjini kunachosha!
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin
Mungu gani alieruhusu kutamani wewe?? Labda mungu wako unaempa ubwabwa na nyama.
Shaabash,
Wakuu Nawasalimu,leo Naomba Mnishaur Jambo Wakuu,ninasumbuliwa Na Tatizo La Tamaa Tena Si Za Kawaida Ni Za Kiwango Cha Juu. Yaani Akipita Dada Kavaa Kasurual, Au Nguo Inayomchora Maumbile Namtamani And Sipendi Tabia Iyo Ya Tamaa,namshukuru Mungu Naishiaga Tu Kutamani Ila Sipendi Tabia Iyo Kwakua Ni Dhambi Na Napenda Niwe Mtu Wa Mungu Jamani Nifaneje? Naomba Ushauri Wenu Kwakua Najua Hapa Ni Maali Sahihi Ndugu Zangu, Mimi Sijaoa Bado Na Umri Wangu Na Nilivojipanga Ni Hadi 2018 Je Nifaneje Kuepukana Na Tamaa?
KOKUTONA lara1 Mentor Kiranga masai dada Evelyn Salt Husninyo Na Wengine Nishaurin