Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
sasa Kipipi swali gani hili kama sio unyanyapaa?
Basi pole, ngoja mie niendelee kuvuta blanket!
Last edited by a moderator:
sasa Kipipi swali gani hili kama sio unyanyapaa?
:lalala:
Dah Kipipi mylove....Erick utanimiss saana mwaka huu, na hivi simu yangu kipenzi ndo imeibiwa......yaani ntaonekana kwa machale kabisa! Sema yote mpenzi kabla sijadisappear, kama kukubeep nishatimiza na nitakupigia kama utapenda! Btw, sikujua kama huwa unanikumbuka kiasi hicho Erick, theeenks!
Erick utanimiss saana mwaka huu, na hivi simu yangu kipenzi ndo imeibiwa......yaani ntaonekana kwa machale kabisa! Sema yote mpenzi kabla sijadisappear, kama kukubeep nishatimiza na nitakupigia kama utapenda! Btw, sikujua kama huwa unanikumbuka kiasi hicho Erick, theeenks!
Kwani Kaizer kipi kigeni kwako?Erickb52 ndo nini hiki?
Marhabaa Kipipi wangu, hujambo wewe na viungo vyako vyote muhimu?
Dah Kipipi mylove....
Huwa nakukumbuka sana tu na hapa sijakuona hewani siku ya tatu lol
Naumwaje?
Come back bby usinifaniyie kama nanii!
Fanya uje kwa haraka
Ni wewe mpenzi wangu
Mwenye shingo ya upanga.