Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
Popote ulipo Kaizer, hebu njoo umfanyie usajili huyu binti.
Swali la kizushi: Je boyfriend wa mtu unaweza megana naye? Mchumba wa mtu?
Swali la mtego: Utamjuaje mme wa mtu?
Kama nimemsoma vizuri hakuna sehemu aliyosema anataka kuolewa. Ye shida yake ni malavidavi na siyo ndoa.
Unajua wanawake tumezidi kuzubazwa na hila za wanaume hasa wanapokuwa wanasarandia K na mate yanawatoka, sasa huyu walikutana kabla ya ndoa, kuvunja uchumba si dhambi why hakuuvunja akamuoa huyu wa school kama kweli alipendwa??hii ni hesabu ya hela ambayo hakuna anayeshindwa hata asiyejua kusoma anaikokotoa bwana. Ulishaona mtu akashindwa kuhesabu hela?
Sasa huyu mdada anajifanya mgeni wa mapenzi na kuhadaika na neno love....hapo ni mgegedo K ikichakaa anatambaa zake kama kawa.
Hahahahha......... Mentor hebu kuja pande hii ujibu hili swali la mdau.
Mme wa mtu si sumu, sumu ni mke wa mtu. Mwambie bibie mimi babu ODM nimempa ruksa afaidi storongo hiyo. Ila akikosa wa kumuoa asimlaumu mtu.
ni tamaa za mwili na upweke unakusumbua hamna lingine..angekuwa anakupenda kiasi hiki kwanini haku-fight for you bibie? mpe papuchi weee mpaka aichakaze, utakuja kushtuka too late..!!
USIZINI; hii ni kwa singles na waliooa kama mke/mme si wako. may be boyfriend bila ngono hapo sawa. Kumbuka boyfriend sio mume so kuwa na mazoea nae sio dhambi. the same to mchumba kuvunjwa uchumbaa sio dhambi kwani bado haijawa ndoa.
Mume wa mtu unamjua kwa mengi, kama hivyo ameshafunga ndoa, wengine wanashuhudia muunganiko kanisani, wengine wanaangalia pete za ndoa (hii ni kulingana na imani ya mtu).
Hahahha si unajua tena mkuu.... tunajipigia machapuo.
Hata kwenye amri za Mungu tumeambiwa "Usimtamani mwanamke asiye mke wako". Hapo ndipo mke wa mtu ni sumu inapokuja. Wanawake hawajazuiwa kutamani wanaume wasio wao......maana yake ni kuwa Mme wa mtu ni sukari.
CC: Raiza, gfsonwin, BADILI TABIA, Paloma, Kongosho, King'asti, cacico, snowhite Kaunga kwa taarifa
BCC: Kaizer, KakaKiiza, Kipaji Halisi, Fidel80, mzabzab kwa utekelezaji
Nani alikudanganya K zinachakaa? Kongosho hebu njoo pande hii.Hapo hakuna malavidavi ni tamaa za mwili a.k.a ngono na kuchakaza K
Duh! Huu sio unyanyasaji wa kijinsia? Akili za kike zikoje?Una akili za kike wewe.
Huyu unamshauri aolewe mke wa pili, sasa huyo mke wa huyo mwanaume umeshashauriana naye?
Unawaza kuolewa tu
Hapo hakuna malavidavi ni tamaa za mwili a.k.a ngono na kuchakaza K
Well said!!Swali la msingi ni, thamani yako kwa ndoa na wewe kuwa nyumba ndogo kipi unakipa umuhimu?
Kama penzi lako kwa huyo mkaka ni kubwa kuliko ndoa jilipue tu.
Ni ngumu mno kupenda, usione watu wako ndoiani, sometimes hakuna penzi hata dogo hadi unamiss smoo hausi.
hiyo ngumu we endelea tu hivyo ndo maisha ya mjini
tena zaa nae kabisa akili kumkichwa
Nani alikudanganya K zinachakaa? Kongosho hebu njoo pande hii.
Well said!!
Malizia kabisa kusema, asilimia kubwa ya watu wameoa/olewa na watu wasiowapenda kwa dhati. (hujawahi kusikia kitu inaitwa wife material?)
Labda kama atababatiza bikra ya kichina LOLNa mie nimemuuliza vile vile
Hajui zinapitisha watoto na bado ziko na sukariguru tu.
Kuna mambo ni umri tu, wakati za sekendare bikra ilikuwa deal kweli.
Waliozitunza, ambao hawakutunza, sasa hivi ngoma droo tuna wajukuu tu.
Kama ni waislam uolewe mke wa pili.....
Bold: Kuwa boyfriend bila ngono kuna tofauti gani na kuwa rafiki na mme wa mtu bila ngono???
Red: Kumzoea Mme wa mtu bila ngono kuna tofauti gani na kumzoea boyfriend bila ngono?
Blue: Kama hivyo ndio viashiria vyako vya kumjua mme wa mtu, nakupa pole sana. Iko siku utagegedwa na mme wa mtu bila kujijua. Usije ukasema sijakuonya.