Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Nimekuwa nikihudhuria mijadala na semina mbalimbali zinazohusu ukimwi na kwa kiwango fulani nimeelimika sana.
Wiki iliyopita nilihudhuria semina kuhusu ukimwi, na nikapata kitu kipya kuwa PUNYETO ni njia nzuri ya kujikinga na ukimwi, na mwezeshaji akasisitiza kuwa haina madhara.
Je ni kweli punyeto ni njia nzuri ya kujikinga na ukimwi na haina madhara?
Naombeni darasa wakuu, ili kama ni kweli nianzishe chama cha wapiga puli maana ukimwi si mchezo!!!!!
Wiki iliyopita nilihudhuria semina kuhusu ukimwi, na nikapata kitu kipya kuwa PUNYETO ni njia nzuri ya kujikinga na ukimwi, na mwezeshaji akasisitiza kuwa haina madhara.
Je ni kweli punyeto ni njia nzuri ya kujikinga na ukimwi na haina madhara?
Naombeni darasa wakuu, ili kama ni kweli nianzishe chama cha wapiga puli maana ukimwi si mchezo!!!!!