Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,970
- 119,439
Mkuu kumbe we ni jirani yangu hahaha mi nipo tu hapa mngeta japo kwa sasa nipo kahama ila ntarudi soon
Hongera! Mngeta nimetembelea sana miaka ya mwanzoni mwa 2000. Kuanzia Mkusi, mchombe yenyewe, Lukolongo, Kotako hadi Mkangawalo; Pande zote hizo nazipata vizuri. Hayo maeneo ya Mngeta na Mbingu yamebarikiwa sana udongo mzuri na wenye rutuba. Ndizi na mpunga kwa sana.