Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro

Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro

Mifugo mzee baba ipp KILOSA😂😂😂..nilitelekeza eka za tikiti kisa ngombe wa mbunge m1😂😂😂..kule wenye mang'ombe ndo wenye sauti...sina hamu na msowela jamani..!
Dah pole sana
Hata juzi nimeona ITV uko uko kilosa
Watu wanakaribia ivisha jamaa kama kawaida wakapitisha ng'ombe; iliniuma sana
 
Kama umeniona ujue nipo mbarali sasa hivi uku mbeya nimekuja langua.

Kilimo kili kukufanya nini mmayo: nipe ka experience kidogo. Serious mwaka huu nilikuwa nimejiandaa nunua mashamba pori makubwa mbwewe tanga kwa ajili ya kuwekeza kweye kilimo.


Ukitaka kuiona hela.yako.ww nunua mazao..kilimo ukitaka bongo kikupe faida kwakweli anza na eka 100..atleast .ila chini ya hapo hakina kitu..masoko siorafiki. yamedodora ..!plus madawa meng ni feki..
 
heshima kwenu wanajf,,
Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro hivi karibuni,, Sababu iliyonifanya kuuchagua mkoa huu ni kwamba una fursa nyingi za kilimo,, hivyo kwa wenyeji au mlio na uzoefu na mkoa huu naombeni mnipe ni maeneo yapi yanafaa kwa kilimo cha Mahindi na Mpunga,,
nawasilisha.
Nenda kilosa kama unataka kulima mpunga na mbogamboga wakati wa kiangazi. Maji ni ya kumwaga kwa umwagiliaji
 
Kama umeniona ujue nipo mbarali sasa hivi uku mbeya nimekuja langua.

Kilimo kili kukufanya nini mmayo: nipe ka experience kidogo. Serious mwaka huu nilikuwa nimejiandaa nunua mashamba pori makubwa mbwewe tanga kwa ajili ya kuwekeza kweye kilimo.




Napajua mbalali..tuliwah lima mchele huko..ila nahis eti mchele wa kahama umeuzid wa huko kwa ladha mzee baba
 
Achana na kilimo mkuu (hii naongea nikiwa serious kbs)cha kufanya ww nunua mazao tu!kila laheri
Mifugo mzee baba ipp KILOSA..nilitelekeza eka za tikiti kisa ngombe wa mbunge m1..kule wenye mang'ombe ndo wenye sauti...sina hamu na msowela jamani..!
Eeehe we vip Sasa Kama ulishindwa wewe ndo ugeneralize ivyo? Kilimo na masister du wapi na wapi
 
Mpe na changMoto za Kilosa mkuu
Ajiandae tu na kulinda shamba dhidi ya ng'ombe kwa baadhi ya maeneo. Wafugaji wa kilosa ni viburi sana hawaogopi kulisha mifugo kwenye maeneo ya wakulima. Ila maeneo mengine kama kilangali wanalima mpunga huko ni shwari hakuna mifugo na mashamba ni ya scheme za umwagiliaji.
 
Usanguni kule ile mbegu imevuka boda Zambia unafananisha na wapi wewe mchele unapika unanukia Acha uongo basi


Hahahaha hivi kuna siku utakuja kubaliana na mm walau kacoment ka1 mzee baba..yaan mm na ww ni Simba na Yanga😂😂..nakusubiri kitaa tu mm .
 
Ukitaka kuiona hela.yako.ww nunua mazao..kilimo ukitaka bongo kikupe faida kwakweli anza na eka 100..atleast .ila chini ya hapo hakina kitu..masoko siorafiki. yamedodora ..!plus madawa meng ni feki..
Na hiki ndiko kilimo cha utajiri ambacho kinaweza kikatufanya tutusue mapema; ngoja tuendelee kukusanya nguvu; japo Mimi napenda kuanzia 20+
 
heshima kwenu wanajf,,
Natarajia kuhamia mkoa wa Morogoro hivi karibuni,, Sababu iliyonifanya kuuchagua mkoa huu ni kwamba una fursa nyingi za kilimo,, hivyo kwa wenyeji au mlio na uzoefu na mkoa huu naombeni mnipe ni maeneo yapi yanafaa kwa kilimo cha Mahindi na Mpunga,,
nawasilisha.
unahamia sehemu gani?,mimi next week naenda Mindu kufanya research kuona kama mazingira ni conducive kwa aina ya maisha nayoyahitaji, majibu yakiwa sawa nadhan mpaka mwezi wa 8 panapo uhai nitakuwa nimehamisha base yangu toka Pawaga na kwenda kuwa mkazi wa Morogoro,Napataman sana Kigoma maeneo ya mto malagalasi maana nimeishi pale kwa miaka kadhaa hivyo napafaham kias ila kwasasa umri umeniacha na sitaki kusumbua watu na kuteketeza resources kidogo nitakazoacha kwa kuwaingiza katika ghalama ya kusafirisha mwili nitakapokuwa nimefariki hivyo siwezi kwenda kuishi kule
 
unahamia sehemu gani?,mimi next week naenda Mindu kufanya research kuona kama mazingira ni conducive kwa aina ya maisha nayoyahitaji, majibu yakiwa sawa nadhan mpaka mwezi wa 8 panapo uhai notakuwa nimehamisha base yangu toka Pawaga,Napataman sana Kigoma maeneo ya mto malagalasi maana nimeishi pale kwa miaka kadhaa hivyo napafaham kias ila kwasasa umri umeniacha na sitaki kusumbua watu na kuteketeza resources kidogo nitakazoacha kwa kuwaingiza katika ghalama ya kusafirisha mwili nitakapokuwa nimefariki hivyo siwezi kwenda kuishi kule


Mindu hii hii mkuu?
 
Back
Top Bottom