Natangaza rasmi kumuunga mkono JK

Mimi hata sielewi mnazungumzia nini jamani. Nilikuwa nje ya Dar Mwezi mzima na nusu niliacha kilo ya mchele shs 1800 nimekuta 2500. Nataka mabadiliko ya haraka, mambo ya kuunga mkono hayasaidii ndugu yangu.
 
Hawa aliowachagua ndo aliona afadhali, wale aliokuwa anategemea kuwachagua nyie ndo mliwaondoa katika kura za maoni, unategemea angemchagua nani? Hawa aliowachagua ndo afadhali kidogo kaka.
 
Upole uko katika kuongoza nchi tu au hata katika mambo mengine ya kimjini mjini? Maana isiwe katika mambo ya msingi mtu unakuwa mpole ila kwenye mambo ya kipuuzi unaamua kukomaa na mtu mpaka unamkomesha
 
Ulichoandika na ulichoamua kutangaza vinapingana. Kama rais anateua msaidizi halaf msaidizi anaboronga waziwazi na unashindwa kumwajibisha si wewe ndio mwenye matatizo? Kwaufupi ulichoamua ni uamuzi unaoongozwa na njaa kama kibonde
 
bwana ta kamugisha,tatizo hapa ni kansa ya mfumo wa naizesheni uliotapakaa ndani ya uongozi wa tanzania(unakumbuka nguvu ya tsunami?). Na kwa bahati mbaya sana rais ndio kaizari wetu, ndiye final say kwa kila jambo. Nani anasaini certificate ya kuongeza posho za wabunge?nani anateuwa igp? Dpp? Pccb,mwanasheria mkuu? Wakuu wa mikoa/wilaya? Wakurugenzi? Ect? Hatuna mifumo inayojitegemea na inayoweza kujisahihisha na kujiangalia yenyewe. Mifumo hii ilikufa tangu enzi za mwalimu. Madaraka yote yalikuwa centralized na hivyo kufanya uraisi wa kifalme,na kwa maana hiyo maamuzi yote ya msingi. Hivyo kwa bahati mbaya(nasema kwa bahati mbaya kwa sababu hipaswi kuwa hiyvo) jk ndio mwenye wajibu mkuu wa kuhakihikisha mtumbwi unaelekea kunakotakiwa mpaka hapo mifumo yetu itakapobadilikia. Ndiye mkurugenzi mkuu wa tanzania na kazi yake ni kuwapata key performance areas hao mameneja wake(wasaidizi) na kama hawa-perform anawaachisha kazi. Na kama jk halijuwi hili basi hafai kuwa rais. Hivyo tatizo kuu la serikali yetu kuto-perform ni jk. Aidha naizesheni imemwelemea,uwezo wake ni mdogo, hajali(maana anajuwa nguvu alizokuwa nazo ni kubwa na hamna anayeweza kumfanya chochote) au serikali yake inaendeshwa na waliomweka madarakani(kumbuka nguvu ya tsunami haikuwa ni nguvu ya umma ila fedha na vyombo vya habari vilitumika kuwatengenezea wananchi nguvu ya umma. Na hivyo kikombe cha uwajibikaji kwa tanzania hawezi kukiepuka,lazima akinywe

tegemea mabadiliko muda si mrefu kaka
 
Maskini Ma Kamugisha, hata ungemuunga mguu wewe na wazazi wako wote bado ni yale yale. Sema unatafuta umaarufu na kuganga njaa. Hata hivyo kwa vile Salva Rweyemamu na Dodorous Kamala wako kwenye payroll ya JK, huna ujanja utafuata. Njaa nyingine matatizo matupu. Ama kweli wasohaya wana mji wao.
 
Nani anayetakiwa kuchukua maamuzi magumu kama wateule wake hawaeleweki?
Kuna criteria zaidi ya hiyo moja kumpima kiongozi
Teh teh teh

Jk haitatokea kuwa bora hata siku moja.
 
Hamna lolote, Every system should have responsible person on top..for our country the president is the last person..if things are not well he is responsible, if things are well he is also responsible. usimlaumu yoyote, amepewa power over all people and even over the law...he has to use it, unless he will be useless if he can't use his power. Sipendi visingizio hata siku moja..
 
Ametumia Uhuru wake wa kutoa maoni kama wewe unavyoamini Regardless Lowasa na JK wote wawili hawana sifa za kuwa Marais wa nchi hii.
Tanzania tunahitaji King Cobra wetu kama Michael Sata ambaye atasafisha ufisadi wote nchi hii. Lowasa na JK wote ni mafisadi na wana mikono michafu hakuna mwenye ubavu wa kuleta uadilifu.

Tukumbuke kuwa hata ukiwa mchapa kazi kwa viwango gani lakini kama ni mla rushwa na fisadi wewe hufai, unatakiwa uazishe kampuni zako binafsi kama alivyofanya Mzee Mengi na Bakhresa, hawa wote ni mafisadi ila kwa sababu wanaendesha biashara zao binafsi sisi hatuna maneno nao.

wote ni wachafu lkn kuna mchafu mmoja tu naamini anaweza kutusogeza mahali
 
Nimetafakari sana mwenendo wa nchi yangu na kugundua kuwa mwenye tatizo si rais, yaani jakaya Mrisho Kikwete.

Nimebaini kuwa huyu jamaa anaipenda sana nchi yake na watu wake tena kwa dhati, ila tatizo linakuja kwa viongozi au wasaidizi wake aliowachagua, chukulia mfano rahisi hawa mawaziri wake, wanashindwa hata kutoa mahamuzi ya maana mpaka rais aingilie kati! vingozi wa wizara ya afya wanasubiri nini kujiuzuru au mpaka JK aseme ndo wajiuzuru?

Kwanini kila mtu anakuwa msemaji wa chama? Mara Lowasa kasema hivi, mara Kinana, mara Sumaye, mara Pinda, mara Makinda, mara Sitta, mara Nyalandu, mara Nape, mara Mukama!

Hapa tatizo ni urais wa 2015. Hata kama anakosea ndo rais wetu mpaka baada ya miaka 4 iliyobaki, JK atafanya mangapi kama wasaidizi wake wanawaza urais badala ya kumsaidia kutatua kelo za walalahoi? kila msaidizi wake amekuwa mchumia tumbo! kuanzia sasa JK nakuunga mkono, piga wote chini hawa mawaziri ambao hawakusaidii weka wapya bado una muda wa kutosha kurudisha mvuto wako na wachama.

Tengeneza serikali ya wanaokutii na ambao wako tayari kukuunga mkono katika kuinua uchumi wa wananchi. Anza na wakuu wa wilaya na wakurugenzi wengi wapo tu hawakusaidii kitu zaidi ya kujimilikisha maaridhi ya wananchi na kula fedha za pembejeo. Angalia maliasili kwa jicho la kulia wanakuzunguka na kuuza wanyama, si ajabu hata vifaru uliowaleta wameshawauza.

Mzee kuwa mkali usiwachekee wanakudharu miaka 4 iliyobaki inakutosha kutimiza ahadi zako. Kuanzia sasa natangaza rasmi kuunga mkono mpaka utakapo staafu ila kumbuka kufanya maamuzi magumu.

Pinda hakusaidii ameshachoka anakuongezea mzigo nae piga chini akalime tu weka mtu wa kukusaidia katka nafasi hii.

Haya ni mawazo yangu kwa rais wangu JK, tafadhali nikosoe kwa ustaarabu nilipokosea.

Naomba kuwasilisha.

Hivi wasaidizi wakikuangusha kwanini usiwaondoe? Kwanini uongozi wakapewa kishkaji na sio uwezo wa utendaji.
Unasema yeye JK anaipenda nchi saana, LINGANISHA UTAJIRI WA FAMILIA YEKE IKIWA NI PAMOJA NA RIZ1 kabla baba yake hajawa raisi na wa sasa hivi utapata jibu.
Hivi mmiliki wa Richmond ni nani? Tutajua yote 2015. Wewe subiri!
Tulimpenda sana JK, lakini uwezo wake wa kuongoza nchi ni mdogo.
 
Nimetafakari sana mwenendo wa nchi yangu na kugundua kuwa mwenye tatizo si rais, yaani jakaya Mrisho Kikwete.

Nimebaini kuwa huyu jamaa anaipenda sana nchi yake na watu wake tena kwa dhati, ila tatizo linakuja kwa viongozi au wasaidizi wake aliowachagua, chukulia mfano rahisi hawa mawaziri wake, wanashindwa hata kutoa mahamuzi ya maana mpaka rais aingilie kati! vingozi wa wizara ya afya wanasubiri nini kujiuzuru au mpaka JK aseme ndo wajiuzuru?

Kwanini kila mtu anakuwa msemaji wa chama? Mara Lowasa kasema hivi, mara Kinana, mara Sumaye, mara Pinda, mara Makinda, mara Sitta, mara Nyalandu, mara Nape, mara Mukama!

Hapa tatizo ni urais wa 2015. Hata kama anakosea ndo rais wetu mpaka baada ya miaka 4 iliyobaki, JK atafanya mangapi kama wasaidizi wake wanawaza urais badala ya kumsaidia kutatua kelo za walalahoi? kila msaidizi wake amekuwa mchumia tumbo! kuanzia sasa JK nakuunga mkono, piga wote chini hawa mawaziri ambao hawakusaidii weka wapya bado una muda wa kutosha kurudisha mvuto wako na wachama.

Tengeneza serikali ya wanaokutii na ambao wako tayari kukuunga mkono katika kuinua uchumi wa wananchi. Anza na wakuu wa wilaya na wakurugenzi wengi wapo tu hawakusaidii kitu zaidi ya kujimilikisha maaridhi ya wananchi na kula fedha za pembejeo. Angalia maliasili kwa jicho la kulia wanakuzunguka na kuuza wanyama, si ajabu hata vifaru uliowaleta wameshawauza.

Mzee kuwa mkali usiwachekee wanakudharu miaka 4 iliyobaki inakutosha kutimiza ahadi zako. Kuanzia sasa natangaza rasmi kuunga mkono mpaka utakapo staafu ila kumbuka kufanya maamuzi magumu.

Pinda hakusaidii ameshachoka anakuongezea mzigo nae piga chini akalime tu weka mtu wa kukusaidia katka nafasi hii.

Haya ni mawazo yangu kwa rais wangu JK, tafadhali nikosoe kwa ustaarabu nilipokosea.

Naomba kuwasilisha.

Nashindwa nakuelimisha vipi wakati huwezi kuona vitu vidogo vidogo, mfano wasaidizi wake kawachagua yeye, wengi sana wabovu kweli bado unaamini yeye yuko fit?

Ama wewe ni mnafiki au upeo finyu sana, please msaidie kwa kumwambia ukweli
 
Maskini Ma Kamugisha, hata ungemuunga mguu wewe na wazazi wako wote bado ni yale yale. Sema unatafuta umaarufu na kuganga njaa. Hata hivyo kwa vile Salva Rweyemamu na Dodorous Kamala wako kwenye payroll ya JK, huna ujanja utafuata. Njaa nyingine matatizo matupu. Ama kweli wasohaya wana mji wao.

nitake radhi mimi sio ma kamugisha! ni ta kamugisha
 
Nimetafakari sana mwenendo wa nchi yangu na kugundua kuwa mwenye tatizo si rais, yaani jakaya Mrisho Kikwete.

Nimebaini kuwa huyu jamaa anaipenda sana nchi yake na watu wake tena kwa dhati, ila tatizo linakuja kwa viongozi au wasaidizi wake aliowachagua, chukulia mfano rahisi hawa mawaziri wake, wanashindwa hata kutoa mahamuzi ya maana mpaka rais aingilie kati! vingozi wa wizara ya afya wanasubiri nini kujiuzuru au mpaka JK aseme ndo wajiuzuru?

Kwanini kila mtu anakuwa msemaji wa chama? Mara Lowasa kasema hivi, mara Kinana, mara Sumaye, mara Pinda, mara Makinda, mara Sitta, mara Nyalandu, mara Nape, mara Mukama!

Hapa tatizo ni urais wa 2015. Hata kama anakosea ndo rais wetu mpaka baada ya miaka 4 iliyobaki, JK atafanya mangapi kama wasaidizi wake wanawaza urais badala ya kumsaidia kutatua kelo za walalahoi? kila msaidizi wake amekuwa mchumia tumbo! kuanzia sasa JK nakuunga mkono, piga wote chini hawa mawaziri ambao hawakusaidii weka wapya bado una muda wa kutosha kurudisha mvuto wako na wachama.

Tengeneza serikali ya wanaokutii na ambao wako tayari kukuunga mkono katika kuinua uchumi wa wananchi. Anza na wakuu wa wilaya na wakurugenzi wengi wapo tu hawakusaidii kitu zaidi ya kujimilikisha maaridhi ya wananchi na kula fedha za pembejeo. Angalia maliasili kwa jicho la kulia wanakuzunguka na kuuza wanyama, si ajabu hata vifaru uliowaleta wameshawauza.

Mzee kuwa mkali usiwachekee wanakudharu miaka 4 iliyobaki inakutosha kutimiza ahadi zako. Kuanzia sasa natangaza rasmi kuunga mkono mpaka utakapo staafu ila kumbuka kufanya maamuzi magumu.

Pinda hakusaidii ameshachoka anakuongezea mzigo nae piga chini akalime tu weka mtu wa kukusaidia katka nafasi hii.

Haya ni mawazo yangu kwa rais wangu JK, tafadhali nikosoe kwa ustaarabu nilipokosea.

Naomba kuwasilisha.


Mapungufu ya Jk yanaanzia katika kuchagua watu wabovu hivyo hawezi kukwepa uozo wowote wanaoufanya.

Viongozi wa wizara ya afya hawstahili kujiuzulu bali kufukuzwa, udhaifu wa JK nikuchukua muda mrefu kuchukua uamuzi huo ili angala madakatari waweze kuwa tayari kukaa katika meza ya majadiliano.

Ni wakati huu wa uongozi wa JK kama Mwenyekiti ndipo kila mtu kageuka msamaji wa chama, sasa unafikiri nani wa kubeba lawama kama sio Mwenyekiti mwenyewe? Mbona zamani haikuwa hivyo?

Hapo ndipo utabini udhaifu wa JK wako ambao sisi watoe tumeshaubaini, kama atweaa hilo ulilopendekeza hataweza kwani yeye hutaka kumpendeza kila mtu akiwepo na wakati hawapo huwasema vibaya mbele ya wengine

Haya ndio wote ambao tumepoteza imani naye ulitegemea kutoka kwake mwaka kuaniza 2005 lakini badala yake aktumia uswahiba kuwaweka watu madarakani, matokeo yake ndio haya unayolamikia hata wewe. Sasa nani wa kulaumiwa?
 
Back
Top Bottom