Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,550
- 2,199
- Thread starter
- #61
Hivi wasaidizi wakikuangusha kwanini usiwaondoe? Kwanini uongozi wakapewa kishkaji na sio uwezo wa utendaji.
Unasema yeye JK anaipenda nchi saana, LINGANISHA UTAJIRI WA FAMILIA YEKE IKIWA NI PAMOJA NA RIZ1 kabla baba yake hajawa raisi na wa sasa hivi utapata jibu.
Hivi mmiliki wa Richmond ni nani? Tutajua yote 2015. Wewe subiri!
Tulimpenda sana JK, lakini uwezo wake wa kuongoza nchi ni mdogo.
Wewe ni kati ya wale waliompigia kura 2005, muunge mkono mpaka mwisho kaka.