St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Last edited by a moderator:
heee twin!! njoo huku watu washaanzsha upinzani!!!!!Mkuuu watu8 umetuanzishia vizuri kweli,na nakukubali Eversmilin Gal ulivyokuwa wazi kuhusu suala la mchumba ila naona hapa figganigga umeenda mbali zaidi, kawaida tunaanzia kwenye uchumba ndio mambo ya ndoa yanafuata hivyo mimi naomba nafasi ya uchumba kwako Eversmilin Gal na figganigga jitayarishe kuwa mpinzani wangu..hata kama umenitangulia kutangaza nia...Mia
heee twin!! njoo huku watu washaanzsha upinzani!!!!!
teh St. Paka Mweusi ngoja twin wangu Eversmilin Gal aje kusibitisha!!Na siku zote mimi huibuka mshindi hata iweje....
heee!! yan twin akiuskia huo mwimbo!! lazma ushinde!! hehehehhe!!! ngoja niburudikemie!!Eversmilin Gal umejificha wapi mbona huji huku..??? Pokea basi kilio changu huku..
teh St. Paka Mweusi ngoja twin wangu Eversmilin Gal aje kusibitisha!!
heee!! yan twin akiuskia huo mwimbo!! lazma ushinde!! hehehehhe!!! ngoja niburudikemie!!
hahahahhaha!! haya tumsubir!!We huoni alivyojificha hapa,na ninajua hata akija ataona aibu tu kusema ukweli ila wacha tumsubiri amalize kuoga....
teh teh teh!!! figganigga umepotelea wapi!!?? njoo tusubirie majibu huku!!Mwanzo mzuri huu,kama ninapata sapoti ya twin wake figganigga ulie tu huko uliko na wala usirudi huku...
mke mwenzangu, umeona eeeeeeee! Mbona sa hujamwambia mgeni we nani yake?? Lol
teh teh teh!!! figganigga umepotelea wapi!!?? njoo tusubirie majibu huku!!
kula tano umeshakula au umefungaMe ntakuwa ur lvly sis my dia
Mi nipe nafasi ya kukupiga kazi. ..........
kazi gani hyo unataka umpige twin wangu!!??Mi nipe nafasi ya kukupiga kazi. ..........
teh teh teh!!! karbu Eversmilin Gal mi ndo twin wako!!