James Lwakatare
Member
- Jun 20, 2011
- 6
- 1
Naomba ridhaa yenu ndugu watanzania,niwawakilishe mjengoni kwa miaka mitano kuanzia 2020-'25 kupitia jimbo la Nkenge,Kagera. Thn nitakua sawia kuwataka ridhaa yenu kuongoza nchi mwaka 2025-.. Roho inauma kuona 2nakwisha, msihofu mtetezi anakuja.PAMOJA TUTAWEZA!